mkuu Nasari alitoka kauli gani mbovu mpaka kamanda wa anga akasahihisha?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ma-viwanja-vya-nmc-arusha-11.html#post3852948
mkuu Nasari alitoka kauli gani mbovu mpaka kamanda wa anga akasahihisha?
Huu mpango wa kuimega Kaskazini ni ajenda ya cdm tangu kimeanzishwa,na sasa ndio wameshika kasi.
Ni suala la kujiuliza,ivi kwa nini mikutano yao mikubwa inayoudhuriwa na viongozi wa kitaifa inafanyikia Arusha na Moshi pekee!!??
alichokuwa anajaribu kuelezea Nasary ni namna CDM inavyonyakua majimbo. Ona mwenyewe Mwanza, Mara, Karatu, Arusha na Moshi inakaa imejitenga kama mwezi. Hivyo kuleta mantiki ya kaskazini kuwa ngome ya Chadema. Na msukumo wa maneno hayo ni kutokana na hila za CCM kutumia njia chafu hata kama ni kuchinja watu (kama walivyomchinja mwenyekiti Mmbwambo wa Usariver). Kwa hiyo ndipo inakuja hiyo dhana kwamba CCM kama hawataki fair play basi tukate kampaka ketu kanakoazia mwanza mpaka moshi! Lakini mwenyekiti Mbowe amesisitiza kwamba hiyo ni kauli ya nasari kama dogo janja na sio ya chama! poleni magamba kwa kukosa mtaji wa maneno!
Jamani twendeni lindi,mtwara,tanga,tabora,unguja sii kila siku arusha.arushwa wameshaelewa maana ya m4c!
Mzee Mwanakijiji ukisikiliza kauli nzima ya dogo janja haikuwa na madhara,ila watu wanasimamia kwenye kipengele kidogo ambacho wao ndo walikuwa wanaitaka ili kuonyesha weakness ya CDM,mbona Mbowe kaelezea tu vizuri pale kuwa hiyo siyo kauli ya chamaHivi wanaitaka kuvunja muungano tena mmoja mteulewa rais si ndio kuleta ya sudan?
Huyo Nassari aliyesema hivyo ndio yule mbunge wa Arumeru?
CDM si mmo humu ndani?Wadau,
Katika hali ya kushangaza, ama kuchanganyikiwa mwanachama maarufu wa CDM a.k.a "Dogo janja"
Ametamka hadharani katika viwanja vya nmc kuwa kama CCM ikiboa wataigawanya nchi kama Sudan.
Wakuu sijajua sababu ya kutoa maneno haya na nina wasiwasi sana na agenda hizi za siri, ukiunganisha na post ya
pasco ya ukaskazini ambayo sikuweza kuijibu kwa kuwa nilikuwa kifungoni naona kuna siri nzito imefichika.
Nawakilisha
uko period??Huu mpango wa kuimega Kaskazini ni ajenda ya cdm tangu kimeanzishwa,na sasa ndio wameshika kasi.
Ni suala la kujiuliza,ivi kwa nini mikutano yao mikubwa inayoudhuriwa na viongozi wa kitaifa inafanyikia Arusha na Moshi pekee!!??
ama kweli ukishabikia chadema inakupasa uwe na akili mbili zilizopungua kumkichwa".
Aliteleza kidogo si unajua hasira,ila Mbowe amelipinga kwa ukali pale pale
Ebu tuambie Mbowe alijibuje,usiwe unakimbilia upande mmoja,unaonyesha udhaifu wako
Jamani twendeni lindi,mtwara,tanga,tabora,unguja sii kila siku arusha.arushwa wameshaelewa maana ya m4c!
Mkuu mtu mzima wa akili aliyeaminiwa na watu,tena wa jimbo la uchaguzi,mdomo wake inabidi achunge sana maana kauli kama tunzozisikia zaweza kuleta vita.Mzee Mwanakijiji ukisikiliza kauli nzima ya dogo janja haikuwa na madhara,ila watu wanasimamia kwenye kipengele kidogo ambacho wao ndo walikuwa wanaitaka ili kuonyesha weakness ya CDM,mbona Mbowe kaelezea tu vizuri pale kuwa hiyo siyo kauli ya chama
Kipi ndio chama????? Hizi habari za kufikirika zinawaponza na kuumiza mioyo yenu shauri yenu!Wanafiki wanaumbuka kweupeeeee!
Wananchi amkeni, CDM sio chama.
Asante bwana Jackson
Huyo Nassari aliyesema hivyo ndio yule mbunge wa Arumeru?