Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mkutano ni saa nane watu wameshanzaa kutia timu ama kweli watu wana usongo...
Picha za awali
=====
======
View attachment 53517View attachment 53525
View attachment 53518
View attachment 53519
View attachment 53520
View attachment 53521
View attachment 53522View attachment 53524
Baada ya kuona makamanda wanaendelea vema kuripoti yanayoendelea NMC nimeona bpra nishughulie na picha zaidi
Peoplesssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
Movement For Change - Vua Gamba Vaa Gwanda.....Hakuna kulala mpaka kieleweke...
Picha za awali
=====
======
View attachment 53517View attachment 53525
View attachment 53518
View attachment 53519
View attachment 53520
View attachment 53521
View attachment 53522View attachment 53524
Baada ya kuona makamanda wanaendelea vema kuripoti yanayoendelea NMC nimeona bpra nishughulie na picha zaidi
Peoplesssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
Movement For Change - Vua Gamba Vaa Gwanda.....Hakuna kulala mpaka kieleweke...
Heche!! Tunafurahi sana kuwa hapa leo!! Mara ya mwisho kuzungumza hapa ni wakati wa kufukuza madiwani wakorofi!!
Siku zote tulisema na tunaendelea kusema kuwa kwa miaka hamsini CCM imeshindwa kupambana na maadui watatu, tuwasamehe kina Millya kwani wametambua makosa na sasa wamejiunga nasi!!
Vyama vyote vingine vipo kwa maslahi ya chama tawala....
Juzi Kikwete ameteua wabunge na ameteua mwenyekiti wa chama kimoja cha upinzani na leo mnashuhudia watu tuliowasema sana wanjidhiri, tunakwenda Mtwara na Lindi kupokea wanachama kama tunavyofanya hapa!
Watu wanalalamika kuhusu maisha magumu, anavunja baraza la mawaziri 50 na kutengeneza la mawaziri 55, angalia mwandosya hana wizara maalumu na tunamuhudumia kwa kodi zetu hapa..
Sisi tunasema mawaziri walioiba kwa mfano Maige analeta Kiburi cha Chenge!! Anaona millioni mia saba ni kidogo, hii ni ishara ya kutuongezea hasira zaidi..
Moshi mjini Ndesamburo anapokea wenyeviti na mabalozi zaidi ya kumi na nane
Wenje yuko kitunda anaendelea kupokea wanaojiuzulu...
D. Kamara amekataliwa kijijini kwake anapelekwa ubelgiji
Serikali ya kishkaji inaliangamiza Taifa...
Nassari; Mkono mmoja kifuani kumkumbuka m/kiti wetu aliyeuawa!!
Mimi niko Arusha na niko Arumeru, sikupata ubunge sababu ya fedha wala historia ya familia
Nilikuwa DOdoma naibana Serikali na wananchi wa A/mashariki wanabana mafisadi katika ardhi!!
Nimekaa bungeni siku kumi na moja nimeona namna hii nchi inavyoliwa, serikali inamiliki magari ya sh trl 5, bajeti ya serikali ilikuwa trl 11, kwa maaana hiyo nusu ya bajeti ni magari, fedha za maendeleo hazifiki na
Kama wananitishia kuniua nilishakufa toka mwaka juzi!!
Hizi harakati ndio kwanza zimeanza, tuko tayari kufa lakini hatutaacha mpaka kieleweke!!
Kule Sumbawanga jimbo liko wazi mtasikia mziki wake- Heche!!
Mbowe; Pipooooooooooooooooooooz!!
Arusha nawaamini, nataka tupige pipoz pawa mpaka wale tumewakaribisha wajue wameingia katika moto wa gesi!!
Ndg zangu, CDM leo ni chama kinachojiandaa kuchuku Serikali kwa hiyo kila dk kila sekunde ni lazima tuzungumze mambo ya busara!! Nimekuja leo kzungumza mambo machache ya msingi
Umoja wetu kama Taifa, tunapenda makabila yote, dini zote, na watu wa kila aina, vijana wana moto wa gesi lakini inatokana na maudhi ya CCM, Kauli ya Dogo janja ilikuwa kauli ya hamasa..
Tanzania ni moja na tutapigana tukomboe nchi yote na sio nusu ya nchi
Tumekuja kuwapokea wenzetu walio toka CCM, ujio wa hawa watu una nia njema!!
Kwa taarifa, namwambia Nape katika wabunge 200 wa CCM, 70 wameshaomba nafasi!!
Wakichelewa tunafunga safina,
Kikwete katika baraza lako la mawaziri unaloapisha j3, 9 wameshabuku nafasi..
Sasa anayesema CCM ipo ni nani??
Jana Kikwete amevunja katiba mara mbili
Baraza la mawaziri linachaguliwa toka miongoni mwa wabunge, wabunge hawajaapishwa lakini wanakuwa mawaziri!
Tunamsubiri Kikwete Dodoma na Baraza lake la mawazi!! Lituambie limepata wapi madaraka na hao mawaziri wliopewa vyeo bandia tunataka watueleze ni wapi wamepata mamlaka hayo.