Mzee Philip Mangula: Viwanja vya Michezo ni mali ya CCM

Mzee Philip Mangula: Viwanja vya Michezo ni mali ya CCM

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
5,231
Reaction score
17,997
1788505873592.png

"Mwenye Ku- mobilize alikuwa ni Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati huo tunajenga CCM Kirumba, Mwanza nilikuwa wilaya ya Kwimba.

"Tuligawana kila wilaya itafute wadau na Chama kitafute watu kwa ajili ya ujenzi. Tulianza kuchangia. Tulifanya kampeni tulizunguka wilaya nzima. Watu walichangia ng'ombe.

"Katika wilaya yetu tulichangia ng'ombe 800. Tulijenga ule uwanja kwa ajili ya wanajeshi watu waliokuwa wakipigana vita ili watakapo rudi mashujaa kutoka vitani tuwapokee pale. Kwa hiyo wazo na Msimamizi alikuwa Chama Cha Mapinduzi"- Mzee Philip Mangula, Mstaafu wa nafasi ya katibu Mkuu na Makamu Mwenyekiti wa CCM.

Soma pia:

 
Kwani wakati huo kulikuwa na Chama kingine?. Mwaka 1965 SERIKALI YA TANU ilichinjilia mbali mfumo wa vyama vingi. Sasa vinakuwaje vya CCM wakati wananchi ndo walioshiriki ujenzi kwa hali na mali.
 
Tuwaachie viwanja vyenu tutafute maeneo mengine mbona ardhi tunayo ya kutosha, ili hivyo viwanja mkae navyo
 

"Mwenye Ku- mobilize alikuwa ni Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati huo tunajenga CCM Kirumba, Mwanza nilikuwa wilaya ya Kwimba.

"Tuligawana kila wilaya itafute wadau na Chama kitafute watu kwa ajili ya ujenzi. Tulianza kuchangia. Tulifanya kampeni tulizunguka wilaya nzima. Watu walichangia ng'ombe.

"Katika wilaya yetu tulichangia ng'ombe 800. Tulijenga ule uwanja kwa ajili ya wanajeshi watu waliokuwa wakipigana vita ili watakapo rudi mashujaa kutoka vitani tuwapokee pale. Kwa hiyo wazo na Msimamizi alikuwa Chama Cha Mapinduzi"- Mzee Philip Mangula, Mstaafu wa nafasi ya katibu Mkuu na Makamu Mwenyekiti wa CCM.

Soma >> Khalifa Said: Mali zote CCM inadai kumiliki ziliporwa kutoka kwa Watanzania, na ni muda sasa mali hizo zirejeshwe Serikalini
Mzee ana fikra mgando,Ila namsamehe maana hat yeye kakiri kwamba umri unamruhusu.Wakati wanachama kwani walichamgisha Wana CCM peke Yao? Wakati wa Chama kimoja kuna ambaye haikuwa mwana CCM? Wale wote walibaki kuwa CCM hata baada ya vyama bingo kurwjeshwa 1992? Lengo kupokea wanajeahi kutoka vitamin, Haya Hao walikuwa wanajeahi wa CCM? Waache Shulman hizo ni Mali za umma.
 
Vinatakiwa kurudi serikalini, hakukuwa na vyama vingine kipindi hicho.
By the way, hivi CCM ilisajiriwa kwa masajiri wa vyama vya siasa?.
 
Miongoni mwa hoja zinazofikirisha na kuhitaji busara, hekima na moyo wa upendo wa kweli kwa nchi yetu ili kuzitatua ni pamoja na hili la viwanja na majengo yanayotajwa ni ya chama yaliyojengwa na kumilikiwa kabla ya kuanza kwa vyama vingi. Nasikia kuna Tume ya Haki Kisanga ilishauri vizuri sana. Lkn hapakuwa na utekelezaji.
 

"Mwenye Ku- mobilize alikuwa ni Chama cha Mapinduzi CCM. Wakati huo tunajenga CCM Kirumba, Mwanza nilikuwa wilaya ya Kwimba.

"Tuligawana kila wilaya itafute wadau na Chama kitafute watu kwa ajili ya ujenzi. Tulianza kuchangia. Tulifanya kampeni tulizunguka wilaya nzima. Watu walichangia ng'ombe.

"Katika wilaya yetu tulichangia ng'ombe 800. Tulijenga ule uwanja kwa ajili ya wanajeshi watu waliokuwa wakipigana vita ili watakapo rudi mashujaa kutoka vitani tuwapokee pale. Kwa hiyo wazo na Msimamizi alikuwa Chama Cha Mapinduzi"- Mzee Philip Mangula, Mstaafu wa nafasi ya katibu Mkuu na Makamu Mwenyekiti wa CCM.

Soma >> Khalifa Said: Mali zote CCM inadai kumiliki ziliporwa kutoka kwa Watanzania, na ni muda sasa mali hizo zirejeshwe Serikalini

Hata katiba mbovu nayo ni mali ya CCM.
 
Mzee asamehehwe amezeeka haiwezi kuwa na akili timamu
 
Back
Top Bottom