Jamaa anasema ''Ee mwenyenzi Mungu nisamehe kumpa kikwete kura yangu
Chadema kwa nini mnajikita Kaskazini tu. kila mwezi lazima mfanye mkutano Arusha.
Jiografia ya Tanzani ni kubwa mno kila siku mpo Arusha tu hamuwezi kuchukuwa nchi kwa kuitegemea Arusha peke yake kuna maeneo mengi watu hawaijui Chadema kama haya.
Namtumbo.
Mbinga.
Tunduru.
Rufiji.
Mafia.
Mkuranga.
Bagamoyo.
Mvomero.
Gairo.
Ulanga.
Urambo.
Sikonge.
Uyui.
Kibondo.
Same.
Kasulu.
Mwanga.
Nachingwea.
Sio mnakaa sehemu mmoja tu Arusha kila siku huu ni ushauri wangu kwenu ni hiyari yenu kuukataa au kuukubali.
Ritz.
JF Daima.
nasikia James Millya ameachana na uamuzi wake wa kuhamia CDM na amekiomba radhi chama chake cha CCM. na hii ni baada ya Nanyaro kumwambia atakaa benchi kwa muda usiopungua miaka 5 bila hata cheo cha m/kiti wa kata CDM.
Nimefika hapa uwanjani upepo ukiwa umetulia,baridi kama kawa hapa Arush na watu wameanza kujitokeza ktk mkutano huu uliomahsusi kuzindua mpango uitwao 'VUA GAMBA VAA GWANDA' karibuni sana ktk eneo hili maarufu 'chadema square' 2peane updates..
ritz yaani leo toka asubhi umeng'ang'ania sijui CDM haiendi sehemu za kusini kwann unakua na uchungu na CDM?
Mshauri Nape aeneze chama na itikadi za kimagamba maana amejisahau pale Lumumba anapigwa AC na kitambi kinamkaribia Komba...
Nadhani ungeangalia na kusikiliza nini kinafanyika huko na kwa wakati gani! Mfano leo ni upokezi wa makamanda wa Arusha, sasa sijui unataka watu hawa wote waende Sumbawanga kupokelewa!! Subiri huko watakuja!!hivi chadema makao yao makuu siku hizi yako arusha? mbona hii mikutano inafanyika arusha mara kwa mara kwanini wasiitishe mikutano yao mikubwa bukoba, sumbawanga au iringa...au kwa vile ni rahisi kukamata precision air kutoka dar kwenda KIA au kwa sababu mbowe makao yake ni moshi na slaa ni arusha so ni rahisi kufanyia mikutano yao A-TOWN
Kila siku Arusha tu Makamanda jaribuni kujitanua kitaifa zaidi kuliko kikanda.
Lini tutasikia Chadema wameweka kambi maeneo mengine kama.
Kilwa.
liwale.
Ruangwa.
Nachingwea.
Newala.
Nanyumbu.
Tandahimba.
Ngara.
Karagwe.
Muleba.
Kyerwa.