Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

Chama cha lema haya sasa mwenyechama kasema zitto jiandae kufukuzwa kweli chadema hakina adabu mtu yeyote wa arusha na kilmanjaro anauwezo wa kumfukuza mwanachama kwenye chama mtafukuza wangapi basi tangazeni kuwa mnataka kubaki peke yenu kwenye chama.

Kwanini hammtaki CCM...
 
Kweli zama za Chadema zimeisha mkutano wa Chadema umepata wachangiaji page 4 mpaka sasa.

Zama za chama zinaisha kwa kujua idadi ya page za Jf zilizochangiwa. Kweli walimu kazi yenu mbichi na elimu bado inasafari ndefu

Usitake niamini ulistahili division 5 ya Prof elimu yako ya kidato cha nne. Ambayo naibu yamkini alijiuliza wanaona kutokuwa Dr au Prof na kukosea Muungano wetu umetokana na nchi gani na kusoma Open watanzania wanastahili Div 5 siko tayari nitatumia cheo kulichinjia mbali.
Kwani zama zinadumu au kwisha kwa kuminya keyboard? kupost au reply
 
Kijana wa Mtei. Godbless Lema, leo amemvua uanachama Zitto Kabwe!!!

Lema anaanza kutoa hukumu kabla kesi haijaanza.

Pamoja na Dr. Slaa kuufunga mjadala lakini Lema ameendeleza mjadala leo. Hii inathibitisha kuwa Lema yuko above the law, hamsikilizi hata Slaa.
 
Naona lema kama kawaida katumwa kuropoka na makamanda wake mnashangilia. hivi hii tuhuma anayo hisema lema mbona hamku hisema mbele ya wana habari?au hipo kwenye barua.

Kwa style hii chadema inaweza kubakiwa na lema,lissu,slaa na mbowe+Mtei.
Lema endelea kuchimba kaburi la chadema sisi tutashiriki matanga 2015


Ckutegemea Mkuu kuona ama kusikia maneno kama haya toka kwako.
Kuna kazi humu!
 
Wadau,

Dr. Slaa alitangaza rasmi kuufunga mjadala wa sakata la Zitto hadharani mpaka hapo Zitto na wenzake watakapojibu tuhuma 11 wanazoshutumiwa.

Kijana wa Mtei, Godbless Lema ambaye anajulikana kutokuweza kuguswa na yeyote ndani ya chama kutokana na proximity yake na Mzee Mtei, kwa mara nyingine amemvunjia heshima Dr. Slaa kwa kuzungumzia swala hilo kwenye mkutano wa hadhara huko Arusha.

Lema, alienda mbali zaidi na kutangaza kumvua uanachama Zitto, jambo ambalo linaingilia process nzima ya utoaji haki na hukumu kwenye sakata hili.

Nakumbuka wadau wa hapa jukwaani kama Yericko Nyerere na sisimizi wengine walifunga mabakuli yao kwa kuogopa kuadhubiwa baada ya Katibu Mkuu kupiga marufuku kuliongelea swala hili.

Inasikitisha kuona Lema anaiendesha Chadema kama duka la kandambili!

Alichokifanya Lema leo kingefanywa na Mohamedi Mtoi au Mwita Maranya ni hakika kuwa adhabu kubwa ingekuwa juu yao ASAP.

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
 
Last edited by a moderator:
Kijana wa Mtei. Godbless Lema, leo amemvua uanachama Zitto Kabwe!!!

Lema anaanza kutoa hukumu kabla kesi haijaanza.

Pamoja na Dr. Slaa kuufunga mjadala lakini Lema ameendeleza mjadala leo. Hii inathibitisha kuwa Lema yuko above the law, hamsikilizi hata Slaa.


Kwa akili yako baridi ni nini kitamponesha Zitto ndani ya CDM wewe?
Mkaribisheni ccm kwani huku CDM hana nafasi.
 
Last edited by a moderator:
Wadau,

Dr. Slaa alitangaza rasmi kuufunga mjadala wa sakata la Zitto hadharani mpaka hapo Zitto na wenzake watakapojibu tuhuma 11 wanazoshutumiwa.

Kijana wa Mtei, Godbless Lema ambaye anajulikana kutokuweza kuguswa na yeyote ndani ya chama kutokana na proximity yake na Mzee Mtei, kwa mara nyingine amemvunjia heshima Dr. Slaa kwa kuzungumzia swala hilo kwenye mkutano wa hadhara huko Arusha.

Lema, alienda mbali zaidi na kutangaza kumvua uanachama Zitto, jambo ambalo linaingilia process nzima ya utoaji haki na hukumu kwenye sakata hili.

Nakumbuka wadau wa hapa jukwaani kama Yericko Nyerere na sisimizi wengine walifunga mabakuli yao kwa kuogopa kuadhubiwa baada ya Katibu Mkuu kupiga marufuku kuliongelea swala hili.

Inasikitisha kuona Lema anaiendesha Chadema kama duka la kandambili!

Alichokifanya Lema leo kingefanywa na Mohamedi Mtoi au Mwita Maranya ni hakika kuwa adhabu kubwa ingekuwa juu yao ASAP.

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...

Mbali na na akiri zako kuwa za ajabu hata hivyo hauna budi kushukuru ajira mnayopata kutoka kwa CDM sasa hivi!
Hivi wewe kwa nini usiwasaidie ndugu zako C ili watimize ahadi zenu kwa sisi walala hoi? Kaz unayo kweli! pima IQ yako ili ujitambue wewe ni mtu wa namna gani katika jamii ya JF
 
Watu kila siku wanachangia harusi halafu anakuja mwanasiasa anawakataza kuchagia elimu!

Hivi elimu na harusi kipi muhimu?

Chadema sifuri kabisa...

Mwenyekiti wa CCM wa sasa alimshinda nani na kwa kura ngapi hadi kuwa Mwenyiti wenu ?
 
Hivi nyie chadema kuna usaliti zaidi ya kujikopesha pesa za wananchi na kurudisha bila riba?

Kuna usaliti zaidi ya kusajili kitu kama chama cha siasa kumbe saccos?

Kwa style hii hata kamanda wq kikosi cha lema bwana Mungi ni msaliti,maana wakati chama chake kimeikana report hile yenye tuhuma juu ya zitto na iliyovsemekana kukwapuriwa makao makuu yeye Kamanda Mungi alisema hile report ni ya kweli na chadema wame hikana kwa mkakati mahususi

Kwa hiyo Kamanda wa lema usishangae na wewe ukafukuzwa na kuitwa msaliti japo Mtei ana kufahamu.
Sidhani kama kwenye hao watu 45 utakosekana.

My lawyer Ruttashobolwa,
I can assure you that report is genuine, but it was denied for obvious reasons we subiri kivumbi chake...... hutaki unaacha
 
Last edited by a moderator:
Ktk mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika leo jijini Arusha,pamoja na mambo mengi yaliyozungumzwa na watu mbali mbali,.Naibu Meya wa jiji la Arusha amesema ktk kipindi cha siku kumi amefungua mikutano kadhaa ikiwepo wa Banki ya Dunia ambapo wamekubali kuwapa jiji la Arusha kiasi tsh 20 bilioni kwaajili ya ujenzi wa barabara zake.Aidha wawekezaji hao wameridhishwa na kiwango cha usimamizi wa miradi inayotekelezwa ktk jiji hilo ikiwemo ile ya barabara kiasi cha kubakia pesa nyingi jambo ambalo halijawahi kutokea ktk nchi za Africa mashariki.Aliwaeleza wawekezaji hao kwamba kazi hiyo inafanywa na madiwani wa chama cha upinzani Chadema ambapo yeye ni diwani wa chama hicho.Hivyo watoe fedha hizo bila mashaka yoyote kwani zitafanya kazi hiyo iliyokusudiwa bila kupotea hata senti moja,

source mimi mwenyewe kwenye mkutano wa Chadema viwanja vya Kilombero stand ya samunge.
 
Hao vichwani mwao wanafikiri kwa kutumia yale majani ya Bob Marley,
Mfano mdogo tu ukitaka kuamini kuwa hawamaanishi wanayoyasema ni pale walipotuambia ati wakipewa nchi miezi mitatu tu katiba mpya inakuwa tayari, wakati ambapo mpaka sasa wanaona vichwa makini namna vilivyojikita katika suala hilo na bado hata nusu ya jambo haujakamilika,

Ingelikuwa wao kwa unafiki wao inamaana tungelishaipata tangu muda sana,

Kitu ambacho si kweli kabisa, ila kwa upande mwengine ingeliwezekana kwani wangelijifungia ndani au wangelienda Dubai, Slaa, Lissu, Mnyika, Mbowe na final say Mtei na kutunga na after 3 month tungelikabidhiwa Katiba mpya kiubabeubabe bila kuhoji.

We utotoni uliugua utapiamlo kama kigwangala.
madhara yake yanaonekana saa hizi.

"we refuse to be, what you wanted us to be,
we are what we are, that is the way is going to be if you dont know!!!!!! ............." hizo ni lyrics za BOB MARLEY

haya tupia tungo za alhaji/porofesa juma kapuya tuzione.
UKOME UKOMAE MARUFUKU KUWATUKANA WAPIGANIA UHURU WA AFRIKA.
 
Back
Top Bottom