Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

Meya wa kichina alikuwa ni lazima aikimbie jeshi la chadema. Hakuwa na plan yoyote kuhusu jiji letu.

Angalau naibu meya anafanya kazi zaidi ya Meya

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

nasemea kushindwa kuongea na wazungu ambao ndio waliotoa pesa za ujenzi wa barabara na visima ikabidi naibu meya aokoe jahazi..
 
Meya wa kichina alikuwa ni lazima aikimbie jeshi la chadema. Hakuwa na plan yoyote kuhusu jiji letu.

Angalau naibu meya anafanya kazi zaidi ya Meya

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Mkuu Mungi machinga complex tunajenga au?
 
Last edited by a moderator:
nasemea kushindwa kuongea na wazungu ambao ndio waliotoa pesa za ujenzi wa barabara na visima ikabidi naibu meya aokoe jahazi..

Hahahaaaaa...... Kumbe ndiyo hivyo! Maccm ni mzigo kila mahali

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Waungwana wanauliza, za SABODO zimetafunwa, itakuwa hizi za benki ya dunia?

Umesikia wapi Sabodo anatoa hela cash?

Labda kwa kukusaidia Sabodo akisema anaisaidia chadema fedha za kuchimba visima huwa anahakikisha visima vimechimbwa anakamilisha malipo. Fedha ambazo ninauhakika Sabodo anatoa cash ni hela za kampeni. Za miradi ya maendeleo anafadhili mpaka miradi inaisha.

Kama hauelewi nitaku ignore kama nilivyomu ignore mwenzako Ritz

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hakuna ripoti ya matumizi na mapato ya M4C.

Tupatie kwanza Ripoti ya Mikutano ya Ccm maarufu km kufufua chama ambayo imekua ikifanyika kwa muda sasa na Napelila na Kinana,halafu ndio uhoji ya M4C! Nguruwe jike wewe!
 
Mkuu Mungi machinga complex tunajenga au?

Machinga Complex ni moja ya ahadi zilizotolewa wakati wa kampeni 2010, bila hata kuuliza kama Kikwete amejenga zile alizoahidi, aliyoahidi Lema itajengwa baada ya eneo kupatikana.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Huyo si alisema atagombea Ubunge kwa kumpinga Lema ndani ya CDM???

Jadili kilichopo hapa. Hilo nendeni mkaliitishie kikao cha dharura Lumumba, kama ccm walivyoitisha kikao cha dharura kupinga chadema wasimfukuze Zitto

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Watu kila siku wanachangia harusi halafu anakuja mwanasiasa anawakataza kuchagia elimu!

Hivi elimu na harusi kipi muhimu?

Chadema sifuri kabisa...

Ccm mmeachakuchangia harusi siku hizi!!?
Kwahiyo Zitto atamwoaje mtoto wa Mkuu wa boma!?
 
Watu kila siku wanachangia harusi halafu anakuja mwanasiasa anawakataza kuchagia elimu!

Hivi elimu na harusi kipi muhimu?

Chadema sifuri kabisa...

Wewe Dr. Imani TV, ulipoenda kujiendeleza Czech ulichangia???
Acha kunywa maji ya upepo!
 
Mimi nadhani pumba na magamba yaliyojibambikiza CDM yanaanza kuonekana taratibu mengi yanasubili ZZK aseme kitu kama kuondoka ili chamq kififie. Unajua kwa uhai wa CCM ni lazima CDM kiwe na nguvu ili na vhenyewe kiweze kuisimamia serikali vizuri
 
Ktk mkutano mkubwa wa
hadhara uliofanyika leo jijini Arusha,pamoja na mambo mengi
yaliyozungumzwa na watu mbali mbali,.Naibu Meya wa jiji la Arusha
amesema ktk kipindi cha siku kumi amefungua mikutano kadhaa ikiwepo wa
Banki ya Dunia ambapo wamekubali kuwapa jiji la Arusha kiasi tsh 20
bilioni kwaajili ya ujenzi wa barabara zake.Aidha wawekezaji hao
wameridhishwa na kiwango cha usimamizi wa miradi inayotekelezwa ktk jiji
hilo ikiwemo ile ya barabara kiasi cha kubakia pesa nyingi jambo ambalo
halijawahi kutokea ktk nchi za Africa mashariki.Aliwaeleza wawekezaji
hao kwamba kazi hiyo inafanywa na madiwani wa chama cha upinzani Chadema
ambapo yeye ni diwani wa chama hicho.Hivyo watoe fedha hizo bila
mashaka yoyote kwani zitafanya kazi hiyo iliyokusudiwa bila kupotea hata
senti moja,

source mimi mwenyewe kwenye mkutano wa Chadema viwanja vya Kilombero
stand ya samunge.

it is a good move mr.deputy mayor 2015 isn't far the Arusha constituency is yours
 
Kijana wa Mtei. Godbless Lema, leo amemvua uanachama Zitto Kabwe!!!

Lema anaanza kutoa hukumu kabla kesi haijaanza.

Pamoja na Dr. Slaa kuufunga mjadala lakini Lema ameendeleza mjadala leo. Hii inathibitisha kuwa Lema yuko above the law, hamsikilizi hata Slaa.

Mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini...???
Nyie ndio mnaotaka kuendeleza mdahalo bure...!!!
Fanya mambo mengine ya kujenga Taifa,waache CHADEMA na siasa zao,wenzako wanafanya mikutano ya kuendeleza majimbo yao....wewe je? kazi yako kushinda kutwa nzima hapa JF unatafuta malumbano na CHADEMA badala ya kwenda kujitafutia riziki zako...shame on you...!!!
 
Godbless J Lema anadaiwa kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi kuliko serikali, Nadhani hizi juhudi zote za kufanya mikutano kila siku ni harakati za kulipa madeni katika hadware mabalimbali mjini Arusha ikiwemo KITONGA HARDWARE NJIRO.

mbona mimi mama yako nilimkopa hutangazi au unatangaza ya lema tu...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chadema inatoa mikopo kwa wana chama wote au ni Dr slaa tuu?

mtakimbia sana michango yangu.badal ya kujibu hooja una brush halafu bado unaendelea tumia the same illogical reasoning kuendeleza attack..Hi ni logic ya Zitto.

Sasa ni kuulize CCM inaruhusu wizi wa mali ya umma kwa wanachama wote au wale mnaowaita mafisadi tuu?
 
Back
Top Bottom