Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

Ktk mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika leo jijini Arusha,pamoja na mambo mengi yaliyozungumzwa na watu mbali mbali,.Naibu Meya wa jiji la Arusha amesema ktk kipindi cha siku kumi amefungua mikutano kadhaa ikiwepo wa Banki ya Dunia ambapo wamekubali kuwapa jiji la Arusha kiasi tsh 20 bilioni kwaajili ya ujenzi wa barabara zake.Aidha wawekezaji hao wameridhishwa na kiwango cha usimamizi wa miradi inayotekelezwa ktk jiji hilo ikiwemo ile ya barabara kiasi cha kubakia pesa nyingi jambo ambalo halijawahi kutokea ktk nchi za Africa mashariki.Aliwaeleza wawekezaji hao kwamba kazi hiyo inafanywa na madiwani wa chama cha upinzani Chadema ambapo yeye ni diwani wa chama hicho.Hivyo watoe fedha hizo bila mashaka yoyote kwani zitafanya kazi hiyo iliyokusudiwa bila kupotea hata senti moja,

source mimi mwenyewe kwenye mkutano wa Chadema viwanja vya Kilombero stand ya samunge.
Sasa hayo ndio mambo tunataka kusikia
 
Pesa wapewe madiwani wa Chadema, hapo hakuna mradi umeisha uliza pesa za Sabodo zipo wapi.
 
Tunaomba uwakumbushe kutolea ufafanuzi mambo yafuatayo.

Chama kina kopesha wana chama wake?

Wanao kopeshwa wanarudisha na riba?

Ni lini chama kitajenga makao makuu na kuondokana na swala la kupangisha.

Ni kipengele kipi kwenye katiba ya chadema kina ruhusu mwanachama kumpiga tofali la kichwa mwanachama mwenzie anapo kosea?

Pesa wanazo changa wananchi zina kwenda wapi mbona huko mikoani hakuna ofisi?

Chama kipo tayari kuendelea kutonywa kinapo taka kufanyiwa ukaguzi wa pesa za wananchi?

cc Godbless J Lema
Henry Kilewo
Joshua nasary

Zile za EPA mlizo kopeshana riba yake ilikuwa kiasi gani?
 
Pesa wapewe madiwani wa Chadema, hapo hakuna mradi umeisha uliza pesa za Sabodo zipo wapi.

Sasa utakuwa kichaa,hivi wanaopewa hela ni kundi flani la madiwani au ni baraza? hoja hapo ni usimamizi makini wa fedha hizo ulioongozwa na madiwani wa chadema,hali iliyopelekea miradi kukamilika na kiasi cha fedha kubaki, kitu ambacho hakijawahi kutokea chini ya usimamizi wa maccm!! Na kama pongezi wafadhili wameahidi kuongeza kiasi cha sh billioni 20!! Haya ndiyo tunayoomba kuyasikia kila siku, bila ushabiki wa kichama,hongereni madiwani wa arusha,mumekuwa mfano wa kuigwa na halmashauri nyingine,japo haitakaa itokee kwa halmashauri za maccm.
 
Pongezi kwa Naibu Meya, lakini in the future tuachane na misaada ambayo baadaye tunarudisha kwa riba kubwa, mfano hizo bilioni 20 will take ages and ages kuzilipa.
Tanzania tuna rasilimali kibao ambazo zinatosha kuendesha uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya watanzania.

Imani ya chadema kwa watanzania ni kuujenga uchumi imara kwa rasilimali zetu wenyewe.
Dr.W.Slaa aliwahi kusema hivi "CHADEMA does not believe in foreign aid" akaongeza na hiki "Foreign aid is a relief only for the countries coming out of calamities (like rwanda genocide)"

Pongezi kwa Msoffe kuthubutu jambo ambalo ccm hawajawahi kuifikiria!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
ujenzi utakuwa unga ltd mpaka jalalani, sombetini njiro mpaka veta, kaloleni..chadema chapa kazi
 
kituo cha levelosi hosp kupandishwa hadhi na kuwa hospita ya wilaya..
ukalabati wa majengo unaendelea
 
Pongezi kwa Naibu Meya, lakini in the future tuachane na misaada ambayo baadaye tunarudisha kwa riba kubwa, mfano hizo bilioni 20 will take ages and ages kuzilipa.
Tanzania tuna rasilimali kibao ambazo zinatosha kuendesha uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya watanzania.

Imani ya chadema kwa watanzania ni kuujenga uchumi imara kwa rasilimali zetu wenyewe.
Dr.W.Slaa aliwahi kusema hivi "CHADEMA does not believe in foreign aid" akaongeza na hiki "Foreign aid is a relief only for the countries coming out of calamities (like rwanda genocide)"

Pongezi kwa Msoffe kuthubutu jambo ambalo ccm hawajawahi kuifikiria!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

mkuu Mungi meya fake aliwakimbia wazungu..
 
Last edited by a moderator:
Pongezi kwa Naibu Meya, lakini in the future tuachane na misaada ambayo baadaye tunarudisha kwa riba kubwa, mfano hizo bilioni 20 will take ages and ages kuzilipa.
Tanzania tuna rasilimali kibao ambazo zinatosha kuendesha uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya watanzania.

Imani ya chadema kwa watanzania ni kuujenga uchumi imara kwa rasilimali zetu wenyewe.
Dr.W.Slaa aliwahi kusema hivi "CHADEMA does not believe in foreign aid" akaongeza na hiki "Foreign aid is a relief only for the countries coming out of calamities (like rwanda genocide)"

Pongezi kwa Msoffe kuthubutu jambo ambalo ccm hawajawahi kuifikiria!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Umezungumza kama mchumi aliyebobea, sasa Pongezi za nini.
 
Zimepatika ngapi leo zote zinaenda Njiro kumalizia ujenzi, hakuna kulala mpaka kieleweke.
Godbless J Lema anadaiwa kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi kuliko serikali, Nadhani hizi juhudi zote za kufanya mikutano kila siku ni harakati za kulipa madeni katika hadware mabalimbali mjini Arusha ikiwemo KITONGA HARDWARE NJIRO.
 
Last edited by a moderator:
mkuu Mungi meya fake aliwakimbia wazungu..

Meya wa kichina alikuwa ni lazima aikimbie jeshi la chadema. Hakuwa na plan yoyote kuhusu jiji letu.

Angalau naibu meya anafanya kazi zaidi ya Meya

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Pongezi kwa Naibu Meya, lakini in the future tuachane na misaada ambayo baadaye tunarudisha kwa riba kubwa, mfano hizo bilioni 20 will take ages and ages kuzilipa.
Tanzania tuna rasilimali kibao ambazo zinatosha kuendesha uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya watanzania.

Imani ya chadema kwa watanzania ni kuujenga uchumi imara kwa rasilimali zetu wenyewe.
Dr.W.Slaa aliwahi kusema hivi "CHADEMA does not believe in foreign aid" akaongeza na hiki "Foreign aid is a relief only for the countries coming out of calamities (like rwanda genocide)"

Pongezi kwa Msoffe kuthubutu jambo ambalo ccm hawajawahi kuifikiria!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Juzi ulikuwa unamponda leo baada ya kusikia masuala ya pesa unampongeza.
 
Last edited by a moderator:
Pongezi kwa Naibu Meya, lakini in the future tuachane na misaada ambayo baadaye tunarudisha kwa riba kubwa, mfano hizo bilioni 20 will take ages and ages kuzilipa.
Tanzania tuna rasilimali kibao ambazo zinatosha kuendesha uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya watanzania.

Imani ya chadema kwa watanzania ni kuujenga uchumi imara kwa rasilimali zetu wenyewe.
Dr.W.Slaa aliwahi kusema hivi "CHADEMA does not believe in foreign aid" akaongeza na hiki "Foreign aid is a relief only for the countries coming out of calamities (like rwanda genocide)"

Pongezi kwa Msoffe kuthubutu jambo ambalo ccm hawajawahi kuifikiria!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Waungwana wanauliza, za SABODO zimetafunwa, itakuwa hizi za benki ya dunia?
 
Umezungumza kama mchumi aliyebobea, sasa Pongezi za nini.

Pongezi kwa hatua ya kwanza kama vision plan ya naibu meya, huku tukimshauri plan B

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
Back
Top Bottom