mshumbue-soi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,842
- 1,148
Wanajamvi
Wakihutubia akiwemo Wakili James Milya, Madiwani, Viongozi wa CHADEMA ARUSHA Wameunga mkono kuvuliwa uanachama Zitto na Wenzake wakiwaita wasaliti, magugu,nk.
Hebu tujadili hoja aliyojenga pia Mhe Mbunge wa Lema katika hotuba yake kuwa mhe. Zitto ana Sifa ya kutokuwa mwanachama kutokana na usaliti, kuuza wagombea kwa ccm akirejea jimbo la mhe N. mkono na mambo aliyoshiriki na kushirikishwa ukiwemo waraka.
Wakati Kiongozi Golugwa amekiri wasaliti 4 ndo wamewakamata 46 watawanasa tu kwani walikuwa 50.
Je? ni kweli Mhe Zitto na Wenzake tuhuma 11 tusizo fahamu kwa sasa kwa tunazofahamu wameshiriki au wamehusishwa;
Zinatosheleza vigezo vya kutokuwa wanachama?
Kama wenzetu Waheshimiwa madiwani, Wabunge na Viongozi walivyotuhabarisha au kutuelimisha wanakosa sifa za kuendelea kuwa wanachama.
Source. Arusha mkutano wa madiwani na mbunge kwa Wananchi.
Naomba kuwasilisha.
Mods naomba Tafadhali, msiunganishe ina hoja ya Wana jamvi kujadili kama wenzetu wanapoteza sifa za kuwa mwanachama wa CHADEMA
Wakihutubia akiwemo Wakili James Milya, Madiwani, Viongozi wa CHADEMA ARUSHA Wameunga mkono kuvuliwa uanachama Zitto na Wenzake wakiwaita wasaliti, magugu,nk.
Hebu tujadili hoja aliyojenga pia Mhe Mbunge wa Lema katika hotuba yake kuwa mhe. Zitto ana Sifa ya kutokuwa mwanachama kutokana na usaliti, kuuza wagombea kwa ccm akirejea jimbo la mhe N. mkono na mambo aliyoshiriki na kushirikishwa ukiwemo waraka.
Wakati Kiongozi Golugwa amekiri wasaliti 4 ndo wamewakamata 46 watawanasa tu kwani walikuwa 50.
Je? ni kweli Mhe Zitto na Wenzake tuhuma 11 tusizo fahamu kwa sasa kwa tunazofahamu wameshiriki au wamehusishwa;
Zinatosheleza vigezo vya kutokuwa wanachama?
Kama wenzetu Waheshimiwa madiwani, Wabunge na Viongozi walivyotuhabarisha au kutuelimisha wanakosa sifa za kuendelea kuwa wanachama.
Source. Arusha mkutano wa madiwani na mbunge kwa Wananchi.
Naomba kuwasilisha.
Mods naomba Tafadhali, msiunganishe ina hoja ya Wana jamvi kujadili kama wenzetu wanapoteza sifa za kuwa mwanachama wa CHADEMA