Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

Lema;
Chadema ni maarufu kuliko kiongozi yoyote..kama kuna kiongozi ni marufu basi atumie umarufu kujenga chama..

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Eti alisoma chuo gani vile huyo Rehema?
 
Ulitaka ripoti ipelekwe lumumba? ha ha ha ha ha....

Tunataka report iwekwe wazi kwa wanachama na ikibidi wananchi kwani ndo kauli na majigambo na tambwe za chamdema kuwa wananchi wanapaswa kujua pesa/michango yao imefanya kazi gani?

Any question may be if there is.......c
Teh teh teh......popoooooz
 
Ningekuwa mkazi wa Arusha hata nisingejidhalilisha kwa kupoteza wakati kumsikiliza mpuuzi kama huyo.
hata hivyo wewe ni mpuuzi tu kwa kusoma yanajiri kwenye mkutano....unatofauti gani na aliye Arusha? kila kitu unasoma humu hivyo acha upuuzi wako kwani wewe ni mpuuzi
 
Watu kila siku wanachangia harusi halafu anakuja mwanasiasa anawakataza kuchagia elimu!

Hivi elimu na harusi kipi muhimu?

Chadema sifuri kabisa...

Hawa Chadema ni mbulula kabisaaa! Haiwezekani tukaendelea kuhubiri watu kwamba wasichangie maendeleo yao, yaani wanachi wazae tu, serikali isomeshe, iondoe karo, michango, daftari itoe bure, peni bure! After all what is serikali km si kila mwanachi? Huu ni uenda wazimu, dhana ya shule za umma sio kwamba serikali itoe bure kila kitu hii nikuwafanya wanaopewa elimu wasiwe na moyo wa kuipenda elimu, make si wanaona ni vya bure! Haiwezekani kabisa huu ni utoto! Chadema achaeni kutengeneza " the irresponsible society" Cheap popularity!
 
Lema;
Chadema ni maarufu kuliko kiongozi yoyote..kama kuna kiongozi ni marufu basi atumie umarufu kujenga chama..

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

mabomu. Na vile vitofali amekuja navyo au?
 
Naona lema kama kawaida katumwa kuropoka na makamanda wake mnashangilia. hivi hii tuhuma anayo hisema lema mbona hamku hisema mbele ya wana habari?au hipo kwenye barua.

Kwa style hii chadema inaweza kubakiwa na lema,lissu,slaa na mbowe+Mtei.
Lema endelea kuchimba kaburi la chadema sisi tutashiriki matanga 2015

Lema:
Leo nazungumza mambo mawili, umeme. na wasaliti..waliovuliwa uongozi, wanasifa ya kuvuliwa uanachama. Zito aliandika barua kwa tume kuwa mgombea wa cdm atambuliwe na uanachama, akampa pesa mgombe wetu kwa nimrod na ushahidi tunao akamwamrisha katibu kumkatia rufaa mgombea kwa dewji
Anasema chadema haiwezi kumwogopa zitto na ili ujue kuna maajabu magazeti yote ya ccm yanaihurumia chadema mpaka mwigulu nchemba, serukamba wanataka tupatane kweli ccm wanamapenzi na chadema..denis msaki na ameanza kuliharibu gazeti na mhando asikie..
Tulipofukuza madiwani walisema tumekwisha leo tuna meya kutoka chadema..
Chadema imeumndiwa mkakati kuliko unavyo weza kuzania..
 
Watu kila siku wanachangia harusi halafu anakuja mwanasiasa anawakataza kuchagia elimu!

Hivi elimu na harusi kipi muhimu?

Chadema sifuri kabisa...

Mh waziri acha kujiaibisha. Yule uliyetegemea aivuruge cdm ameshtukiwa sasa unapiga mayowe tu.
 
Lema:
Leo nazungumza mambo mawili, umeme. na wasaliti..waliovuliwa uongozi, wanasifa ya kuvuliwa uanachama. Zito aliandika barua kwa tume kuwa mgombea wa cdm atambuliwe na uanachama, akampa pesa mgombe wetu kwa nimrod na ushahidi tunao akamwamrisha katibu kumkatia rufaa mgombea kwa dewji
Anasema chadema haiwezi kumwogopa zitto na ili ujue kuna maajabu magazeti yote ya ccm yanaihurumia chadema mpaka mwigulu nchemba, serukamba wanataka tupatane kweli ccm wanamapenzi na chadema..denis msaki na ameanza kuliharibu gazeti na mhando asikie..
Tulipofukuza madiwani walisema tumekwisha leo tuna meya kutoka chadema..
Chadema imeumndiwa mkakati kuliko unavyo weza kuzania..

Nikisema lema ni aliyepungukiwa akili mtachukia zitto anawahusu nini wananchi wa Arusha anazingumzia umeme kwasababu sasahivi ni mgao sio?
Wananchi wa Arusha hata chadema ikiwa madarakani mayengenezo ya njia za umeme ni lazima yatafanyika na mgao utakuwepo so lema usitudanganye!
Wakati wanasema tusitoe michango shule za msingi jiulize watoto wa lema na wenzake wanasoma shule hizo na hizo shule wanazosoma watoto wao wanasoma bure? Jamani tumekua sasa tufanye maamuzi sahihi CCM ooooooyeeeeeeee!!!iwapo ni kwamateso lakini mmenifikisha hapa! Ccm oooooyyyyuueeeeeeeeeehh!
 
Hawa Chadema ni mbulula kabisaaa! Haiwezekani tukaendelea kuhubiri watu kwamba wasichangie maendeleo yao, yaani wanachi wazae tu, serikali isomeshe, iondoe karo, michango, daftari itoe bure, peni bure! After all what is serikali km si kila mwanachi? Huu ni uenda wazimu, dhana ya shule za umma sio kwamba serikali itoe bure kila kitu hii nikuwafanya wanaopewa elimu wasiwe na moyo wa kuipenda elimu, make si wanaona ni vya bure! Haiwezekani kabisa huu ni utoto! Chadema achaeni kutengeneza " the irresponsible society" Cheap popularity!

Hao vichwani mwao wanafikiri kwa kutumia yale majani ya Bob Marley,
Mfano mdogo tu ukitaka kuamini kuwa hawamaanishi wanayoyasema ni pale walipotuambia ati wakipewa nchi miezi mitatu tu katiba mpya inakuwa tayari, wakati ambapo mpaka sasa wanaona vichwa makini namna vilivyojikita katika suala hilo na bado hata nusu ya jambo haujakamilika,

Ingelikuwa wao kwa unafiki wao inamaana tungelishaipata tangu muda sana,

Kitu ambacho si kweli kabisa, ila kwa upande mwengine ingeliwezekana kwani wangelijifungia ndani au wangelienda Dubai, Slaa, Lissu, Mnyika, Mbowe na final say Mtei na kutunga na after 3 month tungelikabidhiwa Katiba mpya kiubabeubabe bila kuhoji.
 
Hivi nyie chadema kuna usaliti zaidi ya kujikopesha pesa za wananchi na kurudisha bila riba?

Kuna usaliti zaidi ya kusajili kitu kama chama cha siasa kumbe saccos?

Kwa style hii hata kamanda wq kikosi cha lema bwana Mungi ni msaliti,maana wakati chama chake kimeikana report hile yenye tuhuma juu ya zitto na iliyovsemekana kukwapuriwa makao makuu yeye Kamanda Mungi alisema hile report ni ya kweli na chadema wame hikana kwa mkakati mahususi

Kwa hiyo Kamanda wa lema usishangae na wewe ukafukuzwa na kuitwa msaliti japo Mtei ana kufahamu.
Sidhani kama kwenye hao watu 45 utakosekana.
Golugwa;
chama kipo imara na mpaka sasa wasaliti 4 wameshashughulikiwa bado 45 maana walikuwa 50 sasa habakizwi msaliti hata kama kuna watakaoamua kuwafuata maana hata shetani alifuatwa na mapepo machache hilo haliwezi kututisha hata kidogo tunasonga mbele maana tunatumikia shauri la Mungu na daima Mungu huwa anashinda!
 
Nikisema lema ni aliyepungukiwa akili mtachukia zitto anawahusu nini wananchi wa Arusha anazingumzia umeme kwasababu sasahivi ni mgao sio?
Wananchi wa Arusha hata chadema ikiwa madarakani mayengenezo ya njia za umeme ni lazima yatafanyika na mgao utakuwepo so lema usitudanganye!
Wakati wanasema tusitoe michango shule za msingi jiulize watoto wa lema na wenzake wanasoma shule hizo na hizo shule wanazosoma watoto wao wanasoma bure? Jamani tumekua sasa tufanye maamuzi sahihi CCM ooooooyeeeeeeee!!!iwapo ni kwamateso lakini mmenifikisha hapa! Ccm oooooyyyyuueeeeeeeeeehh!
Atakayechukia na yeye atakuwa kapungukiwa pia umesema kweli mkuu watu hawapendi ukweli lakini wape tu.
 
wewe lazima utakuwa mhuni,huna uchambuzi wowte,ni mzee wa matusi na maneno machafu
 
Wakuu Mh lema kakumbuka kuchangisha au kukusanya michango kwaajili ya saccos?

Safari hii ni zamu ya Henry Kilewo kukopeshwa na asirudishe na riba.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom