Mkutano wa CCM Kawe, school bus, mabasi ya mikoani, madaladala nk. yametamalaki

Gulwa

JF-Expert Member
Jun 16, 2008
9,792
14,873
Nimepita viwanja vya Tanganyika packers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea nchini? Kweli CCM ni chama dola
 
Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Wametepeta ma CCM

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
wataijua Chadema sasa
 
Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Mkuu CCM ina mtaji mkubwa wa watu wanaowapigia kura na sio mashindano ya wingi wa watu kwenye mikutano
 
Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
 
Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Jamaa wanaishi kwa ubabe wa polisi lakini hakuna mtu mwenye akili timamu anaitaka CCM
 
Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Aibu kubwa sana !
 
Duuh!
JamiiForums-124772545.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom