Mkutanao wa hadhara wa CCM Mailimoja wadoda

Mkutanao wa hadhara wa CCM Mailimoja wadoda

Yaani mtu akiishiwa hatima yake ni vituko mwanzo mwisho,ni sawa na Padri/mchungaji kuwatangazia waumini wake kuleta sadaka ya mavuno wakati anaelewa mashamba hayakulimwa kwa kukosa pembejeo n.k hizo ndizo mbinu mbovu za akina Kinana na wenzake zisizozingatia hali halisi ya maisha ya mtanzania,wao hali duni ni mafanikio msiba ulioje huu.!!!!!!!.
 
Mwigulu anasema mwaka ujao watatembea nchi nzima kuhuisha mabalozi na watahakikisha heshima ya balozi inarudi kama zamani
 
Hivi mbona CCM kwenye mamikutano yao hata ile ya wazi (field) wanapenda sana kukodisha maviti? Viti vya nini kwenye mapambano? Anyway, wanakodisha hadi wahudhuriaji ndio itakuwa viti!
 
kijiwe chako ni maisha club au bills dada angu.,

teh teh teh .... hizi ndizo akili za wana ccm, wind blowing

concentrate kwenye mada wewe mburula ..... eleza kilaza mwigulu anasemaje halafu jioni akugongee chipsi mayai
 
Mwigulu anasema mwaka ujao watatembea nchi nzima kuhuisha mabalozi na watahakikisha heshima ya balozi inarudi kama zamani
kinana.jpg
Huyu jangiri yupo? hapo kibaha hakuna tembo?​
 
teh teh teh .... hizi ndizo akili za wana ccm, wind blowing

concentrate kwenye mada wewe mburula ..... eleza kilaza mwigulu anasemaje halafu jioni akugongee chipsi mayai
0713 maana yake nini mkuu mbona tupo gizani
 
Back
Top Bottom