Mkutanao wa hadhara wa CCM Mailimoja wadoda

Mkutanao wa hadhara wa CCM Mailimoja wadoda

dah jamaa umepost saa tano then unatuambia sàa saba?
 
Jaman ccm imekwisha, wiki takriban 3 zilizopita kulifanyika mkutano wa hadhara wa cdm kwenye uwanja waliofanyia ccm watu walikuwa wengi mno pamoja na mvua kunyesha sasa nimeshuhudia watu wachache sana pamoja na matangazo ya kuwa leo wanatajwa wabunge 7 wa cdm wanaotarajia kuhamia ccmm
 
Wana magamba hamuoni chama kinakufa? Hamieni "digital" CDM
 
mikutano waachiwe vyama vya upinzani,CCM wafanye matendo kwa nini awataki kufuata mawazo yangu? au awana cha kufanya? basi watenbelee walikofanya vitu,la sivyo wataanza kuzomewa
 
Jaman ccm imekwisha, wiki takriban 3 zilizopita kulifanyika mkutano wa hadhara wa cdm kwenye uwanja waliofanyia ccm watu walikuwa wengi mno pamoja na mvua kunyesha sasa nimeshuhudia watu wachache sana pamoja na matangazo ya kuwa leo wanatajwa wabunge 7 wa cdm wanaotarajia kuhamia ccmm

wekeni picha
 
Huu kwl mwaka wao, vp hakuna waliosafirishwa kwa mafuso hadi sasa?

Wameanza kuishiwa............. si umesikia kuwa deni la taifa liko kwenye 20 tillion Tshs........... sasa hata sa kuchota zimeanza kukosekana unless waende kwenye account zao Swiss!!
 
Hapo ni kibaha maili moja kwenye uwanja wa mpira na ndio maana nimepiga picha maeneo ya golini kabisa ili msikatae,nimetokea mbezi kuja kupiga hizo picha tatu tu
 
Sijui ni nani alitoa hili wazo la CCM kutembea nchi nzima kueleza mafanikio? Yaani watu watoke kwenye nyuma za mbavu za mbwa na tembe kwenda kusikiliza 'mafanikio'? Muuza mboga mboga barabarani - tena chini- aache kuwinda wateja akasilikize 'mafanikio? Au mama aliyjifungulia chini kwenye sakafu atoke nyumbani kwenda kusikiliza 'mafanikio?

Very confusing!

very very confusing indeed ndugu
 
Hapo ni kibaha maili moja kwenye uwanja wa mpira na ndio maana nimepiga picha maeneo ya golini kabisa ili msikatae,nimetokea mbezi kuja kupiga hizo picha tatu tu

mkuu piga picha nyingi zaidi kwa kadri ya matukio yanavyojitokeza. hii ndo JF bana.
 
mikutano waachiwe vyama vya upinzani,CCM wafanye matendo kwa nini awataki kufuata mawazo yangu? au awana cha kufanya? basi watenbelee walikofanya vitu,la sivyo wataanza kuzomewa

hilo nalo neno mkuu they must take others ideal and learn from others
 
Hahahahahahahahahahah
ndugu Mwigulu Nchemba twambie wabunge hao saba umesha wataja? Hahahahah

leo wameendelea kupata kilio!
 
Last edited by a moderator:
Watanzania kwa kudanganya hamjambo,kifo kitawaumbua nyie subirini
 
Watu ni wengi sana hapa kibaha hadi barabara ya morogoro haipitiki ambapo yanapita mabasi makubwa kutoka mikoani,raia wameitikia mbaya kabisa
 
Back
Top Bottom