Mkutanao wa hadhara wa CCM Mailimoja wadoda

Mkutanao wa hadhara wa CCM Mailimoja wadoda

Mwigulu hana chochote zaidi ya kumtoroke mkewe kwa kisingizio cha mkutano kibaha.
 
Mimi nipo hapa kibaha mail moja mpaka mida ya saa nane mchana bado gari la matangazo lilikuwa linapita kuhamasisha raia waende kwenye mkutano lakin hakuna mtu aliyejisogeza pale
 
ndo tuseme saa ya mtandaon jamiiforum imegoma ama saa ya mtoa post imeandamana?
Hadi uku kwa GT kumbe wizi mtupu!!!


Mtoa mada jaribu kuandika ukweli ata kama unahisi mchungu
 
Jamani inawezekana bado mwigulu anawahaidi hao wabunge vyeo na hata vipesa vya kurambaramba. Jamani mafuso bado? Maana na wanataarabu hawajaletwa? Ccm ni zaidi ya uijuavyo.
 
Hizo ni baadhi ya picha na kuna huyu jamaa wa orijino komed anaitwa Wakuvanga naye alipata nafasi ya kuhutubia wananchi kidogo akasema amekulia ccm na amesomeshwa na ccm hvyo damu yake ni ccm
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1356788512738.jpg
    uploadfromtaptalk1356788512738.jpg
    62.2 KB · Views: 206
  • uploadfromtaptalk1356788608262.jpg
    uploadfromtaptalk1356788608262.jpg
    73.2 KB · Views: 191
  • uploadfromtaptalk1356788674679.jpg
    uploadfromtaptalk1356788674679.jpg
    80.6 KB · Views: 189
Mwigulu alitafuta jinsi ya kuwavutia watu waje mkutanoni, akaona motisha ya kutosha ni kuwahadaa kuwa wabunge 7 za CDM watajivua magwandwa! Doh! Aibu!
 
Tulipata pancha hapa Chalinze, tupo njiani tunakuja kwenye mkutano na bus la Abood
 
Hizo ni baadhi ya picha na kuna huyu jamaa wa orijino komed anaitwa Wakuvanga naye alipata nafasi ya kuhutubia wananchi kidogo akasema amekulia ccm na amesomeshwa na ccm hvyo damu yake ni ccm

Duh! Kumbe na jamaa nae kasoma???!!!
 
Hizo ni baadhi ya picha na kuna huyu jamaa wa orijino komed anaitwa Wakuvanga naye alipata nafasi ya kuhutubia wananchi kidogo akasema amekulia ccm na amesomeshwa na ccm hvyo damu yake ni ccm
 
Hao ndo watu hahaha...kama mpaka kibaha watu wanajitokeza kiasi hiki ccm ni kwishney
 
Hizo ni baadhi ya picha na kuna huyu jamaa wa orijino komed anaitwa Wakuvanga naye alipata nafasi ya kuhutubia wananchi kidogo akasema amekulia ccm na amesomeshwa na ccm hvyo damu yake ni ccm

hapa wala si kibaha kwa kweli
 
Daa ni huzuni sana kuona aibu hii ccm wanayoivuna jaman, si waachane tu na mikutano ya nje
 
Pa1 na propaganda za mwingulu amevuna wajinga wachache. Hebu fikiria ni Naibu katibu mkuu kweli hamnazo
 
Pamoja na uhamasishaji wa magamba wenyewe wakisaidiwa na yule mfuasi wa masalia aliyegombea ubunge 2010,uitikiaji ndio umekua huu?kweli chama cha majizi kina wakati mgumu sana,nadhani kwa trend hii 2015 magamba lazima wakae,haina ubishi hiyo!
 
Back
Top Bottom