Watu ni wengi sana hapa kibaha hadi barabara ya morogoro haipitiki ambapo yanapita mabasi makubwa kutoka mikoani,raia wameitikia mbaya kabisa
WE mi nipo uwanjani hapa watu ni nyomi acha uongo hata pa kukanyaga hakuna
Watu ni wengi sana hapa kibaha hadi barabara ya morogoro haipitiki ambapo yanapita mabasi makubwa kutoka mikoani,raia wameitikia mbaya kabisa
mkuu lete picha waoneMwigulu ameiua chadema hapa kibaha, hakuna kitu tena hapa
Je huo mkutano ndio ule alio utangaza Mwingulu?? Naomba jibu plz wana jamii
hao mia nane (800) tu waliorudisha kadi hujawaona sembuse wanachama?? hahahadah! unajua kuwa mwongo sio sifa mbona mi siwaoni watu wengi unaosema mpaka barabaran acha hizo hata huoni aibu kusema uongo
Mwigulu ameiua chadema hapa kibaha, hakuna kitu tena hapa
mkuu lete picha waone
Ndiyo huo ,kwani vipi?Je huo mkutano ndio ule alio utangaza Mwingulu?? Naomba jibu plz wana jamii
Angalieni kwenye tv jioni na kwenye magazeti kesho na mitandao, pc yangu haina option ya picha.ccm kumbe inapendwa sana
Angalieni kwenye tv jioni na kwenye magazeti kesho na mitandao, pc yangu haina option ya picha.ccm kumbe inapendwa sana
alete zipi za kutoka kompyuta za rumumba, picha halisi zipo apa jamvini au unazionea aibu kuziangalia
hao mia nane (800) tu waliorudisha kadi hujawaona sembuse wanachama?? hahaha
Sijui ni nani alitoa hili wazo la CCM kutembea nchi nzima kueleza mafanikio? Yaani watu watoke kwenye nyuma za mbavu za mbwa na tembe kwenda kusikiliza 'mafanikio'? Muuza mboga mboga barabarani - tena chini- aache kuwinda wateja akasilikize 'mafanikio? Au mama aliyjifungulia chini kwenye sakafu atoke nyumbani kwenda kusikiliza 'mafanikio?
Very confusing!