mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,226
nimegonga like
vp mkutano ushakwisha?
nimegonga like
Watasandaaaa tu mwaka huu
Mwigulu anasema mwaka ujao watatembea nchi nzima kuhuisha mabalozi na watahakikisha heshima ya balozi inarudi kama zamani
asilimia kubwa yanatekelezwa mkuu
kazi mnayoo....mtaweka kila aina ya maneno lakini ccm itakuwapo hadi kufa kwako wewe....muombe mungu akupe uzima tu ushuhudie 2015.... ndo mtaanzisha tz23Jana ilitangazwa kufanyika kwa mkutano wa CCM ukiwa na niya ya kuelezea mafanikio ya ilani. Taarifa ilikuwa huo mkutano ungeanza saa 5 asubuhi. Matokeo yake hadi saa 7 hii hakuna watu hapo uwajani. Na mkutano ilitakiwa ufanyinge katika uwanja wa mpira maili moja Kibaha.
Kuna wanachama wachache waliotoka mikoa jriani kama Dar ambao wanazunguka zunguka tu huku wengine wakiwa karibu na vibanda vya karibu kujipatia vinywaji.
Nawasilisha.
Labda kwenye gazeti lenu la uhuru! Maana hali halisi inathibitisha kinyume cha hayo unayotaka watu wayaamini!
kazi mnayoo....mtaweka kila aina ya maneno lakini ccm itakuwapo hadi kufa kwako wewe....muombe mungu akupe uzima tu ushuhudie 2015.... ndo mtaanzisha tz23
kazi mnayoo....mtaweka kila aina ya maneno lakini ccm itakuwapo hadi kufa kwako wewe....muombe mungu akupe uzima tu ushuhudie 2015.... ndo mtaanzisha tz23
mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni piga hesabu huko nyuma kwenda shule ya sekondari ilikuwa mbinde hakuna shule nyingi za sekondari wala walimu kaingia JK walimu wakaanza kupata ajira za moja kwa moja haya kila kata ina sekondari mpaka mimi masikini nilipata elimu ya sekondari we tafakari CCM IMENITOA MBALI
wenzetu matajiri lakini mie maskini najua CCM iliponitoa
Sometimes huwa nashindwa kuelewa mawazo ya aina hii! Hivi "huko nyuma" ni chama gani kilichokuwa kinatawala? Ndio maana ikisemwa kwamba CCM imefukarisha hii nchi kwa kiwango cha kutisha tangu enzi na enzi mnalalama; wewe mwenyewe umeshuhudia mwenyewe kwenye bandiko lako! Eti "toka huko nyuma!"
Duh nimeamini CCM imechokwa aiseee..........mpaka kibaha??
mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni piga hesabu huko nyuma kwenda shule ya sekondari ilikuwa mbinde hakuna shule nyingi za sekondari wala walimu kaingia JK walimu wakaanza kupata ajira za moja kwa moja haya kila kata ina sekondari mpaka mimi masikini nilipata elimu ya sekondari we tafakari CCM. IMENITOA MBALI
mkuu mimi ni CCM na mshua ametulea kupitia CCM ila kwa usaliti walioufanya mailimoja watapata dhambi siamini macho yangu nusu nilie