Mkush vs Ulimwengu na Walimwengu

Mkush vs Ulimwengu na Walimwengu

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,920
Reaction score
8,538
🥂RAHA YA KUwA MKUSHI

🥂 Wakushi asili yetu ni upendo hatubaguani tuna pendana

🥂Wakush hatuogopi kufa kwakuwa tunajua hii miili ni kama bodaboda tu tunapanda na kushuka

🥂Wakush tupo huru kifikra hatuabudu/kushadadikia vitu visivyo na ushahidi

🥂Wakush hatuna hofu ya mungu wa israel wala mungu wa waarabu wote tunawaona makolo kama makolo wengne

🥂Wakush tuna heshima na kila mtu lakini ki ukweli sisi hatueshimu dini/iman za kuletwa na melikebu

🥂Wakush tuna umoja. Tuna supportiana tuna peana maarifa na tunajikubali

🤚SHIDA YA KUwA MKUSH

❌Kuchukiwa..yani ukiwa mkushi lazima uchukiwe lakini uzuri huwa tunachukiwa na wasiojielewa

❌Kuombewa mabaya..ukiwa Mkush lazma uombewe mabaya kuna comment ukiandikiwa hadi unaisi unaeza kufa kesho

❌Kutukanwa..kwakuwa Mkush huwa hapindishi basi inafanya watu kuanza kutukana kwakuwa wanakosa hoja

❌Vitisho..asee hili swala hata mimi huwa lina nifurahisha sana yaani mtu anakuja mpaka inbox kunitishia tu kufa wengne wanajifanya watu wa jihad😂

✍🏽MKUSH MIMI NAJIKUBALI SANA NA NlNA WAKUBALI WATU WANGU NA TUTAENDELEA KUELIMISHANA MPANGO WANGU MIMI MUWE WATU HURU SlTAKI KUWAUMIZA KICHWA NA MAMBO YA KUNDALINI WALA MAMBO LOAD EHNK. NATAKA MUWE HURU WATU WANGU AFU MENGINE YATA FUATA🤜🏿🤛🏿....
 
Wakushi hamsapoti na hamjui kinachoendelea kuhusu Dp World..
 
Wakushi mna maoni gani kuhusu na yanga kuchukua ubingwa na waarabu kuchukua bandari..?
 
MKuu sifa kubwa ya mkushi ni mmea wa uzima,kama huli ndumu we si mkushi,ni boya kama boya zingine
 
Back
Top Bottom