Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Kwahiyo rais anafanya mambo anavyoona inafaa siyo kwa mujibu wa sheria ?Wewe ni mpumbavu! Tabia iko moyoni mwa mtu na hakuna malaika hata uwe nani huwezi kumjua mtu kama ni mwadilifu! Unapenda majungu tu ya kujinga! Kila Rais anafanya mambo anavoona yeye inafaa! Umebaki kuwa na chuki ya awake ya tano! Hiyo ishapita jadiri hoja wewe pimbi! Hao unoosema wenye rekodi za utendaji wao walikuwepo ila ni ujinga tu hakuna la maana lililofanyika miaka nenda rude.