Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Ndugu wapenzi wa JF, mimi siwezi kujiita mpenzi wa taarabu. Lakini mara moja moja huwa nikikaa nikasikiliza maneno matamu yaliyo katika muziki huu. Jana wakati nasikiliza miziki ya taarabu toka kwetu bongo, niliusikia wimbo wa mwanamama mmoja akitaka asaidiwe fumbo lifuatalo:- MKUNAJI NA MKUNWAJI NI NANI ANAYEPATA RAHA? Nawasilisha hapa wapenzi wa JF tumsaidie huyu mwanamama tafadhali