Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,942
- 15,707
Nishaogopa usije kunipa no ya kiatuNjoo uchukue jaman sitakunyima tena
Nishaogopa usije kunipa no ya kiatuNjoo uchukue jaman sitakunyima tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] me stakii ugomvi jamaniiAlafu unaweza kuta ni zilipendwa ata no haombwi
Tunamaliza hapahapa kila kitu,Nipe hata PM niione
Minamba yote iliyojaa shogaa hapa mjini kweli umnyime MTU mwe,[emoji23] [emoji23] [emoji23] hadi minguzo ya umeme ina minamba,we unampa tuu akafie nayo mbele,.tena utapanguza long conversion ukimpa kila MTU na mishe zake mpaka aje kugundua ni namba ya kwenye mpapai ni too late,.
Kama dp yako ndio sura yako pole sana Miss Nai, lakini ilifanikiwa miaka ya zamani hiyo trick sio kizazi ng'ang'anizi hiki!..Sasa wewe fanya hivi:Kwa kuwa mara zote hawataji neno simu ila husema naomba namba zako, basi wewe mpe namba za saizi ya kiuno, viatu nk.(kama hutaki mahusiano ya simu)
Ni mimi Miss Nai
[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahahaa. "Eti namba ya kwenye mpapai "
We Mumu weweeee.
Kweli kabisa. Hahhaaaaa.Hapo sasa,we unampa tuu namba zako kumi za bahati akabetie,baaasi
Yeuwiiii,basi subiri sabato ipite mkuu,Ngoja basi nianze kukutongoza humu humu maana ninashida hiyo
Hahahaaaa. Kwa nini tena best?Mtoa mada ni mbinafsi sana
Anazibia wenzake riziki[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] me stakii ugomvi jamanii
Hamnanga mawazo mengine zaidi ya kuomba helaUko kote mbali, muombe pesa uone
Si unaona anataka tunyimwe no na warembo. Sa sijui anataka phone book ijae no za vidumeHahahaaaa. Kwa nini tena best?
Mumu usije ninyima no siku nikikutembelea pmHapo sasa,we unampa tuu namba zako kumi za bahati akabetie,baaasi