Mkomeshe Mwanaume anayehitaji Namba yako ya simu

Mkomeshe Mwanaume anayehitaji Namba yako ya simu

Ulete na thread ya kukomesha wanawake wanaoomba hela kwa wanaume

Ila kwa jinsi ninavyowaelewa wanawake, watasoma hii thread halafu bado namba atatoa tu.
 
Hahahaa. Kwa nini sasa shoga angu?
Minamba yote iliyojaa shogaa hapa mjini kweli umnyime MTU mwe,[emoji23] [emoji23] [emoji23] hadi minguzo ya umeme ina minamba,we unampa tuu akafie nayo mbele,.tena utapanguza long conversion ukimpa kila MTU na mishe zake mpaka aje kugundua ni namba ya kwenye mpapai ni too late,.
 
Mleta maada ni single maza,

Inaonekana kazalishwa na wanaume watatu,

Unaonekana una msongo wa mawazo sana ,

Kwa akili zako za kijinga hivi utazalishwa mpaka watoto sita na watakuacha nao
 
Wana mmu hamjambo? Heri ya mwaka mpya 2018!
Leo nataka nizungumze na wadada wenzangu juu ya upuuzi wa wanaume wa kuomba namba (za simu)
Uombaji wa namba ni kitu nakichukia sana kwa sababu kama mtu anataka kuzungumza nami azungumze tukionana uso kwa uso sio kuomba namba. Kwa uzoefu wangu wanaomba namba ni madomo zege.
Sasa wewe fanya hivi:Kwa kuwa mara zote hawataji neno simu ila husema naomba namba zako, basi wewe mpe namba za saizi ya kiuno, viatu nk.(kama hutaki mahusiano ya simu)Akishangaashangaa mweleze wazi kwamba hiyo ndio namba yako ya (kiuno au viatu) kisha nyamaza, utamwona huyooo anaishia zake ameinamisha kichwa. Hakuna haja ya kutoa maneno makali kama hutaki kutoa namba yako ya simu!
Nawatakieni mwaka mpya wa mafanikio.
Ni mimi Miss Nai
Nipe namba zako tafadhali...
 
Mmh. Kuna umri na umri kina sie wala sio kuanza kuhangaika kufikiria saizi ya kiuno, unamwambia mtu kwa lugha laini kabisa na atajiondokea zake bila hata hasira na huku namba hakuipata.

Hivyo kuanza kumtajia namba ya kiatu ni kumfanya kesho arudi tena.
Kwanza ataona hujala siku nzima[emoji23] ukimpa namba ya kiuno au ya kiatu
 
hii ya mezani!,
naomba namba ya simu ya kiganjani, inayoshinda ikiangaliana na macho yako mazuri ikipapaswa kwa upolena vidole vyako laini, nahisi nikikuambia nakupenda kupitia simu hiyo huta nipiga kalenda.
[emoji12] [emoji12] [emoji23]
 
Back
Top Bottom