Mkomeshe Mwanaume anayehitaji Namba yako ya simu

Mkomeshe Mwanaume anayehitaji Namba yako ya simu

Naisujaki Lekangai

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
1,340
Reaction score
1,378
Wana mmu hamjambo? Heri ya mwaka mpya 2018!
Leo nataka nizungumze na wadada wenzangu juu ya upuuzi wa wanaume wa kuomba namba (za simu)
Uombaji wa namba ni kitu nakichukia sana kwa sababu kama mtu anataka kuzungumza nami azungumze tukionana uso kwa uso sio kuomba namba. Kwa uzoefu wangu wanaomba namba ni madomo zege.
Sasa wewe fanya hivi:Kwa kuwa mara zote hawataji neno simu ila husema naomba namba zako, basi wewe mpe namba za saizi ya kiuno, viatu nk.(kama hutaki mahusiano ya simu)Akishangaashangaa mweleze wazi kwamba hiyo ndio namba yako ya (kiuno au viatu) kisha nyamaza, utamwona huyooo anaishia zake ameinamisha kichwa. Hakuna haja ya kutoa maneno makali kama hutaki kutoa namba yako ya simu!
Nawatakieni mwaka mpya wa mafanikio.
Ni mimi Miss Nai
 
Wanawake msisikilize ushauri wa mtoa maada..
Anawadanganya..
La sivyo mtaishia kuwa ma single mother...
Maana hao madomozege mnaowazingua sasa hivi ndo wanaume watulivu..
Hao wepesi wa kutongoza ndo wanawatumia na kuwa dump...

Akili za kuambiwa changanya na zako...

Kwanza mtoma maada njoo pm tuyajenge
 
Wana mmu hamjambo? Heri ya mwaka mpya 2018!
Leo nataka nizungumze na wadada wenzangu juu ya upuuzi wa wanaume wa kuomba namba (za simu)
Uombaji wa namba ni kitu nakichukia sana kwa sababu kama mtu anataka kuzungumza nami azungumze tukionana uso kwa uso sio kuomba namba. Kwa uzoefu wangu wanaomba namba ni madomo zege.
Sasa wewe fanya hivi:Kwa kuwa mara zote hawataji neno simu ila husema naomba namba zako, basi wewe mpe namba za saizi ya kiuno, viatu nk.(kama hutaki mahusiano ya simu)Akishangaashangaa mweleze wazi kwamba hiyo ndio namba yako ya (kiuno au viatu) kisha nyamaza, utamwona huyooo anaishia zake ameinamisha kichwa. Hakuna haja ya kutoa maneno makali kama hutaki kutoa namba yako ya simu!
Nawatakieni mwaka mpya wa mafanikio.
Ni mimi Miss Nai
Nimekuelewa sana nai
Maana kule kwetu hatuombani namba tunaenda direct to the point na ndo mambo yanatakiwa ivoo[emoji4] [HASHTAG]#Nai[/HASHTAG]
 
Kutongozana face to face kwa mtu ambaye hamjafahamiana kabisa hakika zilipendwa hizo. Teknolojia imekuwa na inaruhusu kupeana namba au email na kujuana zaidi. Pili kumtongoza binti kwa Mara ya kwanza face to face ni kumshushia heshima na dharau.
Binti usikubali mwanaume akuite mtaani na hapo hapo anaanza kukutongoza , ni kakudharau sana na huna hadhi. Mwanaume anakuitaji basi mpe namba , kwa muda wake atakutafuta na kusema shida zake. Ni wewe tu utaamua kunyoa au kusuka.
Ushauri wa kilocal sana umetoa ndugu
 
Wana mmu hamjambo? Heri ya mwaka mpya 2018!
Leo nataka nizungumze na wadada wenzangu juu ya upuuzi wa wanaume wa kuomba namba (za simu)
Uombaji wa namba ni kitu nakichukia sana kwa sababu kama mtu anataka kuzungumza nami azungumze tukionana uso kwa uso sio kuomba namba. Kwa uzoefu wangu wanaomba namba ni madomo zege.
Sasa wewe fanya hivi:Kwa kuwa mara zote hawataji neno simu ila husema naomba namba zako, basi wewe mpe namba za saizi ya kiuno, viatu nk.(kama hutaki mahusiano ya simu)Akishangaashangaa mweleze wazi kwamba hiyo ndio namba yako ya (kiuno au viatu) kisha nyamaza, utamwona huyooo anaishia zake ameinamisha kichwa. Hakuna haja ya kutoa maneno makali kama hutaki kutoa namba yako ya simu!
Nawatakieni mwaka mpya wa mafanikio.
Ni mimi Miss Nai
Naomba namba
 
Wana mmu hamjambo? Heri ya mwaka mpya 2018!
Leo nataka nizungumze na wadada wenzangu juu ya upuuzi wa wanaume wa kuomba namba (za simu)
Uombaji wa namba ni kitu nakichukia sana kwa sababu kama mtu anataka kuzungumza nami azungumze tukionana uso kwa uso sio kuomba namba. Kwa uzoefu wangu wanaomba namba ni madomo zege.
Sasa wewe fanya hivi:Kwa kuwa mara zote hawataji neno simu ila husema naomba namba zako, basi wewe mpe namba za saizi ya kiuno, viatu nk.(kama hutaki mahusiano ya simu)Akishangaashangaa mweleze wazi kwamba hiyo ndio namba yako ya (kiuno au viatu) kisha nyamaza, utamwona huyooo anaishia zake ameinamisha kichwa. Hakuna haja ya kutoa maneno makali kama hutaki kutoa namba yako ya simu!
Nawatakieni mwaka mpya wa mafanikio.
Ni mimi Miss Nai

dada mara kumi ungetoa ushauri wa mtu kusema ukweli kua hataki,au kama ni mke wa mtu kutoa ya mumewe baada ya kua muomba namba ana sisitza ili tukomeshe tabia hizi pia haijamboo,kumbuka mwanaume ndo anae sema kwa kutamka nataka nikuoe,au tuoane ,mimi kama kidume nikitaka kuoa hata wk haichukui ila kwa kina mama zetu mekap zitamaliza kwenye dressing tble,usi upalilie mzizi wa chuki kwa wenzio ambao bado ku pata stara ,mume sehemu yoyote ni stara kikubwa wahase kua makini-
 
Wengine hawazifanyii izo codes kazi wanaishia kusalimia tuu...tech haiwasaidii madomo zege [HASHTAG]#sema[/HASHTAG] Sana
 
Wana mmu hamjambo? Heri ya mwaka mpya 2018!
Leo nataka nizungumze na wadada wenzangu juu ya upuuzi wa wanaume wa kuomba namba (za simu)
Uombaji wa namba ni kitu nakichukia sana kwa sababu kama mtu anataka kuzungumza nami azungumze tukionana uso kwa uso sio kuomba namba. Kwa uzoefu wangu wanaomba namba ni madomo zege.
Sasa wewe fanya hivi:Kwa kuwa mara zote hawataji neno simu ila husema naomba namba zako, basi wewe mpe namba za saizi ya kiuno, viatu nk.(kama hutaki mahusiano ya simu)Akishangaashangaa mweleze wazi kwamba hiyo ndio namba yako ya (kiuno au viatu) kisha nyamaza, utamwona huyooo anaishia zake ameinamisha kichwa. Hakuna haja ya kutoa maneno makali kama hutaki kutoa namba yako ya simu!
Nawatakieni mwaka mpya wa mafanikio.
Ni mimi Miss Nai
Mi nimekupenda bure miss Nai ,
 
Mwanamke ni mtu sio nguo ya mtumba ya kuchukua hapohapo Mwanamke anahitaji sauti ya mahaba kumshawishi na kumshawishi unahitaji utulivu na muda mwingi wa kutosha kama hakukupa namba hamtakutana tena baada ya hapo.toeni namba kwa sana mtoa mada anawivu msikubali ushauri huo
 
Kumbe hata mimi ni domo zege, napenda sana kuomba namba -- naomba namba tafadhali...
 
Wana mmu hamjambo? Heri ya mwaka mpya 2018!
Leo nataka nizungumze na wadada wenzangu juu ya upuuzi wa wanaume wa kuomba namba (za simu)
Uombaji wa namba ni kitu nakichukia sana kwa sababu kama mtu anataka kuzungumza nami azungumze tukionana uso kwa uso sio kuomba namba. Kwa uzoefu wangu wanaomba namba ni madomo zege.
Sasa wewe fanya hivi:Kwa kuwa mara zote hawataji neno simu ila husema naomba namba zako, basi wewe mpe namba za saizi ya kiuno, viatu nk.(kama hutaki mahusiano ya simu)Akishangaashangaa mweleze wazi kwamba hiyo ndio namba yako ya (kiuno au viatu) kisha nyamaza, utamwona huyooo anaishia zake ameinamisha kichwa. Hakuna haja ya kutoa maneno makali kama hutaki kutoa namba yako ya simu!
Nawatakieni mwaka mpya wa mafanikio.
Ni mimi Miss Nai
Umechanganyikiwa wewe sio bure....
Sasa mtu mtaonana vipi kama namba yako hana na mazingira mliokutana hayaruhusu kuongea mambo hayo...mtu mzima unaogopa kutoa namba....si unamwambia tu hey..haiwezekani au nina mtu au sihitaji kuwa na mahusiano...mwanaume wa kweli ukimwambia openly kabisa ataelewa tu
 
Back
Top Bottom