Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,894
- 52,486
Kwa nini uombe nambaWanawake msisikilize ushauri wa mtoa maada..
Anawadanganya..
La sivyo mtaishia kuwa ma single mother...
Maana hao madomozege mnaowazingua sasa hivi ndo wanaume watulivu..
Hao wepesi wa kutongoza ndo wanawatumia na kuwa dump...
Akili za kuambiwa changanya na zako...
Kwanza mtoma maada njoo pm tuyajenge
Mwanaume jasiri anatema sumu face to face