Mkomeshe Mwanaume anayehitaji Namba yako ya simu

Mkomeshe Mwanaume anayehitaji Namba yako ya simu

Vijana shida sana, ngoja umri usogee hizo namba za simu utakuwa unatoa bila kuombwa!
 
Washauri ujinga wazeekee makwao mtu anakuomba namba ili akutafute kwa wakati na sehemu sahihi kwan mnakutana kila mtu ana ratiba na mood yake afu uanze kumtongoza hapo wwe sio mzima
 
Hahahaaa, tunakupa muda saiz upo 20's unasumbua, ngoja ufike 25+ utakuwa unatafuta wa kuwapa namba
 
Miss Nai inaonekana huwa huombwi namba eh?
Ukiombwa namba, toa. Huwezi jua mwombaji ana nia gani. Btw,acha wivu
 
ww unazeekea nyumbani kwa hiyo na wenzako unataka wazeekee home ...siku watu kuchat bhana .Mfano nimekutana na ww nikakupenda nikaomba no km umeolewa au unamtu ukiniambia tu sorry bro na mtu nitakuelewa ila ukinipa no ya linda lako nitakuona msenge na mshamba tu
 
Sisi wadada tujadanganywaga na mahandsome boys ,wengine wana magari nimekuja kugundua asilimia kubwa ya hao mahandsome boys wako na watu waliowaweka mjini.
Hao my hb asilimia kubwa hana hela.
Ila wadada wanawaacha watu wenye sura mbaya ambao wanajalii wanaenda kuhonga hb's kisa na mkasa hakuna wakiambia sister naomba namba anatoa bila wasiwasi ngoja aje mtu ambaye hana sura ila anagari tu yake dada naomba namba yako anasema lione sura mbaya asingekuwa na usafiri nisingempa angalia.
Baadae tunakerekwa.
Unakuta unadhamini sura sio mtu baadae unazeeka kuolewa nimapito.
Tusichague maana yule ambaye humpendi amgekutoa kilife.
 
Solution ni kutokufungua mdomo wako...

The minute utakapofungua mdomo wako na kujibu chochote, ni kama vile umefungulia mistari iteremshwe...


cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom