Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,251
- 2,131
Yaani kwa mara ya kwanza umekutana na mrembo uanze kumwaga sounds/tongozo huo ni ujinga kwa mwanaume anajielewa.Hata kwa mwanamke mumekutana for first time tena kwa bahati mbaya ukitongozwa lazima uhisi vibaya na utahisi amekuona Malaya lakini inategemea na unavyojiweka ke kama uko hovyo utatongozwa na kwenda kuliwa mzigo.
Namba ni njia bora ya kumpa mwanamke heshima
Namba ni njia bora ya kumpa mwanamke heshima