Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Wewe lazima utakuwa zuzu wa kweli kweli! Mtu na akili zako unafuatilia comments za unayedai zuzu halafu unaanza kulialia kama vile unatoka kwenye kambi ya washamba na limbukeni, pole sana! Lugha ya staa ndiyo lugha gani au hukuaga huko pangoni ulikotoka.Nadhani nilishakushauri humu JF kuwa ujitahidi sana kutumia lugha ya staa...nimekuwa nikifuatilia comments zako humu JF ..kwa hakika comments zako nyingi ni za kebehi, kejeli, matusi na zenye mwelekeo wa majivuno...Yaani wote wenye mawazo tofauti na wewe unawaona kuwa ni mazuzu na wewe ndiye mwerevu na unayejua mengi..