Stadium school ipo mpaka sasa???
Stadium school ipo mpaka sasa???
Mkuu upo lindi sehemu gani!?
Likotwa iko wilaya ipi!??
Barabara haisumbui??
Shule ya msingi stadium bado ipo
Nmesoma pale
Niko Ruangwa hapa ni Radio za CCM tu ndo zinakamata; TBC, UHURU na Newala, na clouds FM kwa mbaliiiiiii.
Na Hapo tumefunga antenna juu kama ya TV.
Mamlaka ya mawasiliano inabid iwasaidie kuwashawish wamiliki wa vyombo vya habar waje huko.Mzee Meng wasaidie hawa watu kupata habari.
madukwappa, Salma anatoka kijiji gani hapo lindi
Kwanini lindi wananchi ni maskini sana
Makabila gani yanapatikana mkoa wa lindi
Hadi enzi hizi mabinti wa lindi bado wanachezwa unyago?
kwa nini wewe usione fursa ukaanzishe kituo cha radio, siyo msaada huo ni biashara!
Hospitali ya nyangao ni moja kati ya hospitali mashuhuri kanda ya kusini tangu enzi za ukolon ilikuwa inatumiwa ktk utoaji wa huduma za afya.. Kiukweli ni hospitali muhimu kwa wakazi ya mikoa ya kusini.....
Kwa sasa inaendeshwa kwa ubia wa kanisa na serikali... Lakini inaonekana serikali haijawa na commitment ya kutosha ktk kuhakiksha huduma bora za afya zinapatkana ktk hospitali hii kongwe
kwa upande wa umaskin nadhan nilijibu jana tafadhali refer post za nyuma
kuhusu kwanini kusini wanang'ang'ania CCM mimi naamini wananch wa kusin hasa Lindi hawafurahii umaskini au vitendo vinavyofanywa na wawakilishi..
TATIZO NI KWAMBA HIVYO VYAMA VINGONE VYA UPINZANI ikiwemo CHADEMA NCCR MAGEUZI na CUF havitoi kipaumbele ktl harakati za kisiasa mkkoa ya kusini. Angalau kidogo CUF wameoneaha jitihada na ndyo maana walishnda jimbo la LINDI MJINI... Syo vyama vya siasa tu.. Hata makampuni binafsi. Vyombo vya habari kwa kiasi kikubwa imeitenga kanda ya kusini ktk nyanja zote ktl hali kama hyo suala la mabadiliko linakuwa ngumu kidogo
Ni kweli usemalo.. Umwinyi bado upo... Nadhani jambo la msingi ni kuwaelimisha vijana wa sasa kubadilika na kuachana na huo mtizamo wa kimwinyi. Wasome kwa bidii wafanye kazi kwa kushirikiana na kwa lengo moja la kukabiliana na umaskini na kuibadilisha mkoa wa lindi.. Nafikiri ni jambo linalowezekana kwa kutumia informal na formal education.. Badala ya kushindwa kwenye vijiwe vya kahawa na kupiga story.. Vijana wajitume katk kaz za kiuchumi
Fanya marekebisho kidogo; kwa mamlaka ya serikali za mitaa uko sahihi ila kihalisia wilaya ni 5 yaani Hapo ni wilaya ya Lindi na zingine zinabaki kama zilivyo.kama unavyojua Nchi yetu hii kila raia anaruhusiwa kuishi popote na kufanya shughuli zake ili mradi afuate sheria na taratibu
yapo makabila mengi ila makabila ya asili ya mkoa wa Lindi ni
WAMWERA WAMAKUA WAMAGINGO WAMAKONDE WAMATUMBI WANGINDO WAYAO n.k
kwa upande wa wilaya mkoa wa lindi unaundwa na wilaya 6 ambazo ni NACHINGWEA. RUANGWA. LIWALE. KILWA. LINDI VIJIJINI. LINDI MANISPAA