BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,379
- 6,890
Nadhani nimejibu hili swali.. Kiufupi wanaliwa kwa baadhi ya makabila hasa wamakua wamakonde na wamwera.. Ila syo wote.. Binafsi sili panya.. Ila panya wanaoliwa syo hawa wa majumbani.. Ni wale panya wa porini wenye rangi tofauti na hawa wa ndani.. Ni sawa na wale waliohimizwa na wataalamu wa SUA.. waliwe..NDEZI.. KARIBU SANA
Aidha ulaji wa panya huendana na imani za dini..mfano waamini wa dini ya kiislamu panya kwao ni haramu..hivyo ili kuepusha machukizo kwa wengine huwezi kukuta panya wanauzwa kiholela sokoni bali huzwa kwa wale tu wanaokula.