Mkoa wa Lindi: Historia na Taarifa Muhimu

Mkoa wa Lindi: Historia na Taarifa Muhimu

1.Zao la korosho linatumika kutengenezea nini?
 
mwambie bernard membe apeleke jokofu la kuhifadhia maiti hospital hapo.....mtama yeye kaenda kutembelea na gari la mamilion wakati hospital hapo hakuna huduma hiyo....
 
Kwa nini wengi wa wenyeji wa mkoa huu wakitoka hawarudi....hawarudi kuwekeza kwao?

Kwa mfano mzee Kingunge hana nyumba ya maana kipatimu....

Kurudi kuwekeza nyumbani ni moja ya vigezo muhimu vya kuinua uchumi.
 
Nipo nachingwea sasa hivi kituo cha mabasi ya mkoani. Leo nalala hapa hapa kituoni baada ya kukosa chumba kwenye guest zote nilizoulizia majira ya saa kumi na mbili jioni ikiwemo hii paris. Swali hivi kwa nini watu wa lindi wanapenda sana uasherati?
 
Kiukweli hii ni kasumba iliyowajaa watu wengi. Hata hivyo vijana wa sasa wanajifunza kwa kiasi kikubwa wanajitahidi kukumbuka na kujenga kwao.. Hivyo katika maeneo mengi nyumba za kisasa zijajengwa hasa na wenyeji ambao wanaishi mikoa mingine....
Kwa nini hospitali ya Nyangao anakotoka mbunge na waziri Membe anayetarajia kugombea urais 2015 haina jokofu la kuhifadhia maiti na leo kaaibika kwa kujionea mwenyewe?
 
Hingera kwa majibu mazuri. Vipi muamko wa elimu mkoa wa lindi. Lindi mjini kuna shule ngapi na ipi kati ya hizo inajiweza kitaaluma. Je shule
hiyo ni ya serikali au binafsi
 
Kiukweli hii ni kasumba iliyowajaa watu wengi. Hata hivyo vijana wa sasa wanajifunza kwa kiasi kikubwa wanajitahidi kukumbuka na kujenga kwao.. Hivyo katika maeneo mengi nyumba za kisasa zijajengwa hasa na wenyeji ambao wanaishi mikoa mingine....


Nini sababu ya hiyo kasumba....
Kuna madai ya kuogopa kurudi nyumbani kwa kuhofia ndumba, kuna ukweli?
Sielewi kwa nini mtu asirudi wala kukumbuka kuwekeza mahali alipozaliwa na kukulia.
 
ufuta ni moja kati ya zao kuu la biashara mkoani lindi.. Unastawi ktk wilaya zote sita.. Hata hivyo serikali bado bado haijatoa sapoti ya kutosha ili kuongeza uzalishaji

Sokoni lindi kilo moja ya ufuta inauzwa kwa kiasi gani??

Msimu wa ufuta unaanza lini na kuisha lini??

Hekta moja inatumia gharama kiasi gani kutoka kupanda hadi kuvuna??

Hekta moja inatoa ufuta kiasi gani??
 
Ni kweli LINDI panya ni kitoweo murua kabisa!??
 
Kihistoria mkoa wa Lindi ni moja ya mikoa yenye historia mzuri kitaaluma.. Nakumbuka mpk kufika mwaka 2002 mkoa wa lindi ulikiwa unaongoza na kushika namba moja ktk matokeo ya kitaifa ya SHULE ZA MSINGI.. Baada ya hapo serikali kwa kiasi kikubwa ilihamisha wataalamu hasa walimu wakongwe Na kuwapeleka ktk mikoa mingine hasa ilipofika utawala wa Jk na kuleta anguko kubwa la elimu ktk mkoa wetu ambao ulikuwa unazalisha wasomi wengi.... Shule maarufu za msiNgi zilizokuwa zinashika nafasi za juu kitaifa ni pamoja na MSINJAHILI. TUNDURU YA LEO. NAMBAMBO... shule hizi zote ni za serikali....
Kwa upande wa shule.za sekondari.. Kama unavyojua kila.kata ina shule za sekondari.. Hata hivyo bado shule zinazofanya vizuri ni shule kongwe mfn LINDI SEKONDARI. MKONGE. NACHINGWEA SEKONDARI. MAHIWA nk.
Kwa upande wa high skuli shule tunazozitegemea ni MAHIWA na LINDI SEKONDARI.. bado tuko nyuma ktk high skuli.. Ila bado tunaendelea kuisisitiza serikali kutuwezesha angalau tuwe na high skuli kila wilaya..
Kwa upande wa shule binafsi kiukweli halijapewa kipaumbele... Bado tunajitahidi kurusldisha heshima ya kitaaluma ktk mkia wetu kama zamani

pia vipo vyuo mbambali ikiwemo.vyuo vya ualimu na vyuo vya afya vya serikali ngazi ya certificate.. Ikiwemo chuo cha ualimu cha nachingwea

Nashkuru sana. Lengo langu ilikuwa kujua kwa upande wa lindi manispaa shule za sekondari zipo ngapi na ipi iko vizur kitaaluma na je shule hiyo ni ya binafsi au serikali. Nataka kutafuta nafasi kwa kijana wangu
 
mna radio ngap za masafa ya fm nataka nijue wananch wa huko kama wanapata habar kwa umakin zisizoegemea upande mmoja kama pale mawingu fm
 
Asante
samaki nchanga bila shaka umemaanisha panya.. Kiukweli kabila linalosifika kwa ulaji wa panya ni wamakua.. Hata mimi ni mmakua ila sili panya... Ila asilimia.kubwa ya wamakua hula panya.. Wamakua wanapatikana kwa wingi wilaya ya masasi.mkoa wa mtwara.. Hata hivyo kwa kuwa wamakua wamesambaa pia ktk mkoa wa.lindi hasa ktk wilaya jiran ya Nachingwea.. Panya wanaliwa tena kwa.wingi sana na makabila karibu yote ikiwemo wamwera na wamakonde.... Kuhisi ming,'oko pia inachimbwa na kuliwa kwa wingi tena wengine hufanya kama zao la biashara

Asante mkuu!
 
Mbunge Seleman Bungara, Bweege ni jina lake kweli au ni a.k.a? Kama ni a.k.a kwanini ikawa Bweege?
 
Mzee Bob,

Hili suala halijadiliki, maana hata BM huko aliko in private nasikia hucheka sana anapowasikia kina JK na EL wanapopiga piga kelele, na yeye huwaita marais wawili kwani yeye anasema anelewa kuwa hawatafanya kitu zaidi ya kelele tu zamlango,

Tunafuata siasa gani sidhani kuna kiomgozi hata mmoja wa bongo anayeweza kusema ukweli kuwa kwenye hili hatuna lolote ila tupo tu!

Binafsi ninasema sasa ni Mungu tu nisaidie, serikali yetu leo imejaa who knows who! Sio tena Who knows what! As much as I have a problem na siasa za Mwalimu, lakini angalau chini ya mzee tulikuwa tunajua tunasimamia wapi, na mimi binafsi nilisoma bureee, na warrant ya shule ile ya treni na basi niliikwaa sana, basi tu sometimes sina shukrani na Mwalimu, unajua Biblia inasema kuongeza knowledge ni kujiongezea sorrow, Watanzania ndugu zangu we are stuck!

Haya mambo ya mashirika makubwa sisi we have absolutely no idea nini kinaendelea, Bob na wengine nafikiri mmesoma kile kitabu cha Economic hit Man, now yale ni mambo ya 1950s na 1960s! Sasa niambie leo 2006 hao kina hit man wanafanya nini? Na sisi tunafanya nini?

Sasa hivi tuna viongozi wezi tu na siasa hatuna kabisaa, tena sasa nimeshaanza kukata tamaa na mzee JK, kuwa hakuna lolote kama anvyosema mzee BM, as much as I hate him lakini ana point "......hawa MARAIS wawili kazi yao kelele tu unafikiri wataweza?......"

Kuna wadada nasikia wanaitwa lindi "A" ndo wakina nani hao na wanasifa gani
 
Nikiondoka Dar nafika lindi sangap?? Kwa bus

Naomba nimjibie hili kwakuwa na mimi huwa napita sometimes hapo nikielekea Mtwara.

Basi linalotoka saa 12 alfajiri Ubungo hufika Lindi mjini saa sita na nusu mchana mpaka saa saba. Umbali wa Dar to Lindi ni around 440 km hivi na kidogo
 
Tunaambiwa wilaya za Nachingwea na Ruangwa kuna shughuli za kuchimba madini, je ni madini ya aina gani yanachimbwa huko, na wachimbaji wa namna gani wanaendesha shughuli hizo? kwa maana wachimbaji wadogo wadogo au wakubwa? na Mkoa wenu umenufaika vipi na uchimbaji wa madini hayo?
 
mna radio ngap za masafa ya fm nataka nijue wananch wa huko kama wanapata habar kwa umakin zisizoegemea upande mmoja kama pale mawingu fm

Radio za fm zinazosikika Lindi vituo vyake viko Mtwara mjini kama vile Pride fm,Safari radio na info radio..aidha kuna radio zingine za fm zinazosikika kutoka Dar .
 
Back
Top Bottom