Kitumbikwela
Senior Member
- Nov 5, 2016
- 140
- 100
Ngoja nimsaidie kujibu mkuu Lindi chamaki mchanga hawali ila ming'oko wanatumia sana na wanadai pia ni dawa hasa kwa wamaume ingawa hamna utafiti uliofanyika.Hao chamaki mchanga wanaliwa sana mkoa wa mtwara especially wilaya ya masasi.Umeulizwa bado mnakula chamaki nchanga na ming'oko? We unajibu mambo ya uvuvi, toa jibu la chamaki nchanga.