qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
Tanroad ya Mtwara inajitahidi sana maana barabara ya Nachingwea - Masasi ipo chini ya Tanroad za mikoa.Tanroad ya kila mkoa ingeweza kujenga km 1 kila mwaka kwa kila mkoa kwahyo barabara ya Nach-Masasi ingesaidia kwa hii njia.
Yeah ila ukiangalia mkoa wa Mtwara wamejitahidi hadi pale Lukuledi Lindi bado wakati ile barabara ingekuwa muhimu sana