Mkoa wa Kilimanjaro unashangaza kidogo

Mkoa wa Kilimanjaro unashangaza kidogo

Kale kakipande ka holili sidhani kama ni sahihi kukahesabu maana kanaishia boda, ilatakiwa kaunge lower road hadi mkuu ndo tungeweza kuhesabu barabara 2 za lami, all in all tunaishukuru serikali kwa barabara hii moja kuu ya kuiunganisha kenya na Tanzania, ni barabara muhimu sana na iko very busy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moshi vijijini sio wilaya ile inaitwa halmashauri ya wilaya ya moshi na haina mkuu wa wilaya
Unaweza kuwa right, but mie niliingia huko na kupata majibu hayo..
Screenshot_20200620-170557_Chrome.jpg
Screenshot_20200620-170914_Chrome.jpg
Screenshot_20200620-171127_Chrome.jpg
 
Kijiografia ni Mkoa mdogo sana kwa Tanzania bara, ndio unaofutia kuwa na eneo dogo baada ya Dar Es Salaam huu mkoa una Wilaya Saba(regardless eneo lake).

Kingine huu mkoa mdogo una shule za Secondary 316 hakuna mkoa mwingine wenye Shule nyingi hivi, mingine hata ukiinganisha huu mkoa ndio unaongoza kwa ufaulu. 2017/2018.

Huu mkoa Makao makuu yote ya wilaya zake yameunganishwa kwa barabara za lami na barabara nyingi za kitarafa pia zina lami
barabara za kwenda wilaya ya Rombo ambayo iko pembezoni kidogo ni mbili na zote zina lami.

Naona kuna mengi yakujifunza Kilimanjaro vijiji vya mkoa wa Kilimanjaro vina maendeleo kuliko vijiji vya mikoa mingine.

CCM na Serikali yake wanapaswa kuwekeza zaidi ndani ya Kilimanjaro, kwasababu ukiwekeza Kilimanjaro unaendeleza Tanzania.

Huu mkoa Ndio Lango la Tanzania Nawasilisha
Naunga mkono hoja '' aikambeeeeee''
 
Laiti kama wangeacha kuabudu mizimu(kufanya mitambiko ya kuwakumbuka wafu) wangekuwa mbali zaidi. Neema ya Mungu ingezidi zaidi na zaidi.
 
Naomba nikusahihishe mkoa wa kilimanjaro Una wilaya sita na sio Saba, halmashauri Ndio ziko Saba, wilaya zake ni same, mwanga, siha, hai, rombo na moshi ambayo ina halmashauri mbili halmashauri ya manispaa ya moshi (moshi) na halmashauri ya Wilaya ya moshi (vijijini), kuna sehemu umeshauri ccm wawekeze kilimanjaro Kwani wakiwekeza huko watakua wameleta maendeleo tanzania, je hivi wakiwekeza sehemu nyingine watakua hawaleti maendeleo tanzania, by the way ccm haifanyi uwekezaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau siha mkuu ni wilaya nayo ilimegwa toka hai
 
Nilishangaa juzi kati nilivyosikia kuna vijiji 3,000 Bado havijapata umeme, sikuwahi kujua kama kuna shida ya umeme Tanzania kwani tokea miaka ya 90 kijijini kwetu Kibosho ndani ndani kuna umeme.
Shule za kata zipo kabla serikali haijaamua kujenga shule za kata Tanzania nzima.

Maji ni bwerere, chem chem zipo za kutosha.
Kila kata ina zahanati.

Kuna barabara za lami vijijini.

Moshi pamebarikiwa
 
Nilishangaa juzi kati nilivyosikia kuna vijiji 3,000 Bado havijapata umeme, sikuwahi kujua kama kuna shida ya umeme Tanzania kwani tokea miaka ya 90 kijijini kwetu Kibosho ndani ndani kuna umeme.
Shule za kata zipo kabla serikali haijaamua kujenga shule za kata Tanzania nzima.

Maji ni bwerere, chem chem zipo za kutosha.
Kila kata ina zahanati.

Kuna barabara za lami vijijini.

Moshi pamebarikiwa
Ukiibariki Kilimanjaro unaibariki Tanzania.
 
Wewe ni m'bishi sana.
Ila ni kweli Moshi vijijini haina mkuu wa wilaya.
Ila Kijiographia ni wilaya.
Watu wengi hamna uelewa wa mambo ya kiutawala
Kuna tofauti Kati ya wilaya na halmashauri
Moshi Vijijin Ni halmashaur iliyopo ndani ya wilaya ya Moshi,the same as Bukoba,musoma,songea,mbeya etc
Wilaya moja inaweza kuwa na halmashauri mbili au zaidi
 
Nilishangaa juzi kati nilivyosikia kuna vijiji 3,000 Bado havijapata umeme, sikuwahi kujua kama kuna shida ya umeme Tanzania kwani tokea miaka ya 90 kijijini kwetu Kibosho ndani ndani kuna umeme.
Shule za kata zipo kabla serikali haijaamua kujenga shule za kata Tanzania nzima.

Maji ni bwerere, chem chem zipo za kutosha.
Kila kata ina zahanati.

Kuna barabara za lami vijijini.

Moshi pamebarikiwa
Hata huko kwa kina @manelezu,jaap bado une hujafika
 
Back
Top Bottom