Mkoa wa Kilimanjaro unashangaza kidogo

Mkoa wa Kilimanjaro unashangaza kidogo

hiyo ni nzuri sana. Nafikiri mikoa mingine inahitaji oparesheni shule za kata phase 2 ili walau kuendana idadi ya shule na Kilimanjari.
 
Naomba nikusahihishe mkoa wa kilimanjaro Una wilaya sita na sio Saba, halmashauri Ndio ziko Saba, wilaya zake ni same, mwanga, siha, hai, rombo na moshi ambayo ina halmashauri mbili halmashauri ya manispaa ya moshi (moshi) na halmashauri ya Wilaya ya moshi (vijijini), kuna sehemu umeshauri ccm wawekeze kilimanjaro Kwani wakiwekeza huko watakua wameleta maendeleo tanzania, je hivi wakiwekeza sehemu nyingine watakua hawaleti maendeleo tanzania, by the way ccm haifanyi uwekezaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wilaya ziko 7 na kuna wilaya ya Moshi vijijini..
 
Hongereni sana shemeji zangu. Always nasema sijutii kuunga ukoo uchagani. By the way kuna wakati pia katika mwaka tunaunga bogi la kwenda Moshi Desemba kuwa pamoja na ndugu wa kule na ile culture yao nimeshaipeleka kwetu kiasi kwamba kila Desemba na sisi tunaenda kwetu watoto wote wa mzee na watoto wetu na wajukuu pia. Hakuna kitu kizuri kama ndugu kukutana katika nyumba mliozaliwa wote. Pale ndipo mnaona kwa pamoja hata mahitaji ya wazee na mnaweka azimio la kuyatatua. Endeleeni kubeza utamaduni wa wachaga na mtabaki masikini kila siku tu.
 
Lindi ni maskini wa Mali na akili pia,pesa za korosho huwa mnaonga zote!?

Sent by Diaspora
Mkuu umaskini wa Lindi umeletwa na viongozi wetu hasa wa Lindi na mtwara kukumbatia utanzania zaidi ya u Lindi na mtwara km mnavyokumbatia nyie ukilimanjaro..
Tumetoa viongozi wengi tu ila wameweka mbele maslahi ya nchi ndio maana hadi Leo barabara ya kwenda jimboni kwa pm ni Vumbi tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umaskini wa Lindi umeletwa na viongozi wetu hasa wa Lindi na mtwara kukumbatia utanzania zaidi ya u Lindi na mtwara km mnavyokumbatia nyie ukilimanjaro..
Tumetoa viongozi wengi tu ila wameweka mbele maslahi ya nchi ndio maana hadi Leo barabara ya kwenda jimboni kwa pm ni Vumbi tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mara kumi hata tungewapa Mozambique sehemu yao ya mtwara na Lindi [emoji23] [emoji23]

Sent by Diaspora
 
Makao makuuu yako wapi
Makao makuu ya nini..?
Screenshot_20190125-175552_Google.jpeg
 
hiyo ni nzuri sana. Nafikiri mikoa mingine inahitaji oparesheni shule za kata phase 2 ili walau kuendana idadi ya shule na Kilimanjari.

Halafu kule Shule nyingi wamejenga wenyewe kwa hayambee na michango ya wazazi wala siyo za Serikali tangu zamani za kale!
Sasa huku mikoa mingine nani yuko tayari kuchangia ujenzi wa shule na Nyumba za walimu na Maabara ?!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom