mbona hujaizungumzia ile ishu ya ku import wanaume kutoka kenya kuja kushughulikia kina mama mliowatelekeza kwa sababu ya kilaji nayo ni maendeleo masaweeee?
duu we jamaa kweli maendeleo hayana chamambona hujaizungumzia ile ishu ya ku import wanaume kutoka kenya kuja kushughulikia kina mama mliowatelekeza kwa sababu ya kilaji nayo ni maendeleo masaweeee?
Ileje sio mbeya mkuuMkuu, kwenda Ileje kuna lami?
Naomba nikusahihishe mkoa wa kilimanjaro Una wilaya sita na sio Saba, halmashauri Ndio ziko Saba, wilaya zake ni same, mwanga, siha, hai, rombo na moshi ambayo ina halmashauri mbili halmashauri ya manispaa ya moshi (moshi) na halmashauri ya Wilaya ya moshi (vijijini), kuna sehemu umeshauri ccm wawekeze kilimanjaro Kwani wakiwekeza huko watakua wameleta maendeleo tanzania, je hivi wakiwekeza sehemu nyingine watakua hawaleti maendeleo tanzania, by the way ccm haifanyi uwekezajiKijiografia ni Mkoa mdogo sana.
Kwa Tanzania bara, ndio unaofutia kuwa na eneo dogo baada ya Dar Es Salaam.
Huu mkoa una Wilaya Saba(regardless eneo lake).
Kingine huu mkoa mdogo una shule za Secondary 316.
Hakuna mkoa mwingine wenye Shule nyingi hivi, mingine hata ukiinganisha.
Huu mkoa ndio unaongoza kwa ufaulu. 2017/2018.
Huu mkoa Makao makuu yote ya wilaya zake yameunganishwa kwa barabara za lami.
Na barabara nyingi za kitarafa pia zina lami.
Barabara za kwenda wilaya ya Rombo ambayo iko pembezoni kidogo ni mbili na zote zina lami.
Naona kuna mengi yakujifunza Kilimanjaro.
Vijiji vya mkoa wa Kilimanjaro vina maendeleo kuliko vijiji vya mikoa mingine.
CCM na Serikali yake wanapaswa kuwekeza zaidi ndani ya Kilimanjaro, kwasababu ukiwekeza Kilimanjaro unaendeleza Tanzania.
Huu mkoa Ndio Lango la Tanzania...
Nawasilisha
mbona hujaizungumzia ile ishu ya ku import wanaume kutoka kenya kuja kushughulikia kina mama mliowatelekeza kwa sababu ya kilaji nayo ni maendeleo masaweeee?
Kilimanjaro ni Lango la Tanzania? Sijakuelewa hebu fafanuaKijiografia ni Mkoa mdogo sana kwa Tanzania bara, ndio unaofutia kuwa na eneo dogo baada ya Dar Es Salaam huu mkoa una Wilaya Saba(regardless eneo lake).
Kingine huu mkoa mdogo una shule za Secondary 316 hakuna mkoa mwingine wenye Shule nyingi hivi, mingine hata ukiinganisha huu mkoa ndio unaongoza kwa ufaulu. 2017/2018.
Huu mkoa Makao makuu yote ya wilaya zake yameunganishwa kwa barabara za lami na barabara nyingi za kitarafa pia zina lami
barabara za kwenda wilaya ya Rombo ambayo iko pembezoni kidogo ni mbili na zote zina lami.
Naona kuna mengi yakujifunza Kilimanjaro vijiji vya mkoa wa Kilimanjaro vina maendeleo kuliko vijiji vya mikoa mingine.
CCM na Serikali yake wanapaswa kuwekeza zaidi ndani ya Kilimanjaro, kwasababu ukiwekeza Kilimanjaro unaendeleza Tanzania.
Huu mkoa Ndio Lango la Tanzania Nawasilisha
Huo ni mkoa Wa songwe mkuu, mbeya ina wilaya za kyela, rungwe, busokelo, mbalali,na mbeyaLakini si unapita Mbeya vijijini?
Pamoja na hiyo lami bado mji wa mwanga uko duni Sana kulinganisha na miji mingi ya wilayaniMwanga imeendelea kuliko Chato.
Unafahamu kuwa ukitoka Mwanga kwenda Usangi barabara yake ni ya Lami? Ndani ya wilaya...
Na Mkoa wa Mwanza na Geita bado hazijaunganishwa kwa Lami.