Mkoa wa Kilimanjaro unashangaza kidogo

Mkoa wa Kilimanjaro unashangaza kidogo

Laiti kama wangeacha kuabudu mizimu(kufanya mitambiko ya kuwakumbuka wafu) wangekuwa mbali zaidi. Neema ya Mungu ingezidi zaidi na zaidi.
Hakuna kabila lisilo na tamaduni
Tamaduni za kichaga ni za kimaendeleo ndio maana mkoa ina wasomi wa kila fani na maendeleo yametamalaki
Sio kama zile jamii zingine zenye tamaduni mbaya kama female génital mutilation,kuozesha watoto wa kike wadogo kwa ng'ombe,kutopenda shule etc
 
Jamani Kilimanjaro mungu aendelee tu kutuinua na tuuombee mkoa wetu, nilisafiri toka DSM to tarime mkoa Mara haki mikoa niliokatisha unaambiwa hapa ndio mjinii unashangaa bora na kule kijijini kwetu, cha kwanza kuna ukame, vumbi kupita maelezo, umeme tabu, shule mbalii yani ilifika mahali nikajisemea hiv kungekuwa kwetu ningeenda shule kwelii? Tumepita tabora igunga kwa kina shilole pakameee, kwa kweli mikoa mingine tuiombee tuu iinukee kukame waoteshe miti basis kuwe at a ukijanii

Sent using Jamii Forums mobile app
Asanteeer kilimanjaro kwakweli inapendeza
God bless us
 
Kuna wachagga fulani wameanzisha kijiji kabisa eneo fulani ndani ya U.S ukifika hapo ni kichagga kwa kwenda mbele/ HUTAAMINI.
SO SO FUNNY, SIJUI IDEA YAO NI IPI KWA HILI?
@instanbul ipo? Hadi USA kuna Kijiji cha wachaga mambo ni moto
 
Kuna watu hawataki kuelewa hili.
Ila ndio ukweli!!!
 
Hakuna kabila lisilo na tamaduni
Tamaduni za kichaga ni za kimaendeleo ndio maana mkoa ina wasomi wa kila fani na maendeleo yametamalaki
Sio kama zile jamii zingine zenye tamaduni mbaya kama female génital mutilation,kuozesha watoto wa kike wadogo kwa ng'ombe,kutopenda shule etc
wachagga hongereni, sisi wengine tunatamani kubadili kabila zetu tuwe wachagga
 
Kijiografia ni Mkoa mdogo sana kwa Tanzania bara, ndio unaofutia kuwa na eneo dogo baada ya Dar Es Salaam huu mkoa una Wilaya Saba(regardless eneo lake).

Kingine huu mkoa mdogo una shule za Secondary 316 hakuna mkoa mwingine wenye Shule nyingi hivi, mingine hata ukiinganisha huu mkoa ndio unaongoza kwa ufaulu. 2017/2018.

Huu mkoa Makao makuu yote ya wilaya zake yameunganishwa kwa barabara za lami na barabara nyingi za kitarafa pia zina lami
barabara za kwenda wilaya ya Rombo ambayo iko pembezoni kidogo ni mbili na zote zina lami.

Naona kuna mengi yakujifunza Kilimanjaro vijiji vya mkoa wa Kilimanjaro vina maendeleo kuliko vijiji vya mikoa mingine.

CCM na Serikali yake wanapaswa kuwekeza zaidi ndani ya Kilimanjaro, kwasababu ukiwekeza Kilimanjaro unaendeleza Tanzania.

Huu mkoa Ndio Lango la Tanzania Nawasilisha
Kilimanjaro
 
Ant chagga au ant kilimanjaro wako njiani kuja na povu kali hapa.

Ongezea na huduma za afya kwa hospitali kila kijiji na upatikanaji wa maji safi na salama kwa wingi isipokuwa sehemu ndogo ya MWANGA walokumbatia ccm bado.
"Ant" hebu tafsiri isije ukawa unawatukana wachaga.
 
Mhuu maendeleo sio kihiivyo, nimetembea nchi hii karibu kila mahali sii kweli Kilimanjaro kuna kila kitu sii kweli maeneo mengi yameshaendela Wachagga wanalewa sifa ambazo sii za kweli. Rais aliwaleza nyie msubiri mkafurahiii kuna shida umaskini umetamakaji vijijini, ulevi na vingine vingi wenzenu wanawapaka mafuta kwa mgogngo wa chupa nyie huree amkeni. Hali ya huko iliwekwa na mababu zenu mkizembea itapeperuka na mtakuwa wa mwisho. Hebu nendeni kwenye list ya mikoa tajiri mpo wa ngapi ni chini kama sii wa mwisho chini kule, amkeni acheni shobo. Tunawashukuru kwani tulisoma kwenye shule zenu ila be aware muda sii rafiki sana. Anzisheni umoja wa kujisaidia muache kutegemea serikali. Zao lenu la kahawa kwishney mna nini sasa, wazee kule ndio msiseme.
 
Mhuu maendeleo sio kihiivyo, nimetembea nchi hii karibu kila mahali sii kweli Kilimanjaro kuna kila kitu sii kweli maeneo mengi yameshaendela Wachagga wanalewa sifa ambazo sii za kweli. Rais aliwaleza nyie msubiri mkafurahiii kuna shida umaskini umetamakaji vijijini, ulevi na vingine vingi wenzenu wanawapaka mafuta kwa mgogngo wa chupa nyie huree amkeni. Hali ya huko iliwekwa na mababu zenu mkizembea itapeperuka na mtakuwa wa mwisho. Hebu nendeni kwenye list ya mikoa tajiri mpo wa ngapi ni chini kama sii wa mwisho chini kule, amkeni acheni shobo. Tunawashukuru kwani tulisoma kwenye shule zenu ila be aware muda sii rafiki sana. Anzisheni umoja wa kujisaidia muache kutegemea serikali. Zao lenu la kahawa kwishney mna nini sasa, wazee kule ndio msiseme.
Umetoa povu la kutosha Mkuu.
Kilimanjaro unaifananisha na mkoa gani??? Tuanzie hapo.
 
Umetoa povu la kutosha Mkuu.
Kilimanjaro unaifananisha na mkoa gani??? Tuanzie hapo.
Hivi unajua kusema kweli mkoa kama wa Shinyanga kwa sasa inaweza kuwa inakimbizana na Kilimanjaro kimaendeleo sema wananchi wengi wa shinyanga hawana elimu ukilinganisha na Kilimanjaro! Ila ukienda vijijini shinyanga maendeleo yanachemka isivyo kawaida! Mfano wilaya ya Kahama na miji yake midogo midogo wananchi wanavipato vikubwa nafikiri kuliko mkoa mzima wa Kilimanjaro!
 
Hivi unajua kusema kweli mkoa kama wa Shinyanga kwa sasa inaweza kuwa inakimbizana na Kilimanjaro kimaendeleo sema wananchi wengi wa shinyanga hawana elimu ukilinganisha na Kilimanjaro! Ila ukienda vijijini shinyanga maendeleo yanachemka isivyo kawaida! Mfano wilaya ya Kahama na miji yake midogo midogo wananchi wanavipato vikubwa nafikiri kuliko mkoa mzima wa Kilimanjaro!
Kahama ipi wewe?
 
Hivi unajua kusema kweli mkoa kama wa Shinyanga kwa sasa inaweza kuwa inakimbizana na Kilimanjaro kimaendeleo sema wananchi wengi wa shinyanga hawana elimu ukilinganisha na Kilimanjaro! Ila ukienda vijijini shinyanga maendeleo yanachemka isivyo kawaida! Mfano wilaya ya Kahama na miji yake midogo midogo wananchi wanavipato vikubwa nafikiri kuliko mkoa mzima wa Kilimanjaro!
 

Attachments

  • JamiiForums-17993327.jpeg
    JamiiForums-17993327.jpeg
    62.6 KB · Views: 2
Kahama ipi wewe?
Tatizo huwa mataka nyinyi tu ndo muonekane mna maendeleo! Niambie wilaya gani hapo Kilimanjaro inaweza kuilinganisha na Kahama?
Kahama TRA inauita mkoa maalum wa kikodi! Niambie wilaya gani huko Kilimanjaro ina hadhi hiyo?
 
Back
Top Bottom