Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Kweli kabisaKama chato iwe Magufuli basi makao makuu yawe mwendazake
Swissme
Kweli kabisaKama chato iwe Magufuli basi makao makuu yawe mwendazake
Swissme
K-Vant za weekendMkuu bange uliyovuta leo imechanganywa na kinyesi itakuwa
Eeeeeeh!Umeonaeeeeee?
Pale Msoga paiwetwe Jakaya na Lupaso paitwe Mjapa pia.Good evening jamiiforums.
Ndugu zangu, leo nilienda kumtembelea dada yangu mmoja (mtoto wa mama mkubwa) ameolewa eneo la Pugu huku Dar. Sasa wakati tupo tunakula mezani ule muda wa mchana, mtoto wake wa kiume (Uncle wangu) yupo kidato cha pili akaniuliza hivi...
Makao makuu yaitwe john pombe!!!Good evening jamiiforums.
Ndugu zangu, leo nilienda kumtembelea dada yangu mmoja (mtoto wa mama mkubwa) ameolewa eneo la Pugu huku Dar. Sasa wakati tupo tunakula mezani ule muda wa mchana, mtoto wake wa kiume (Uncle wangu) yupo kidato cha pili akaniuliza hivi;
Kwanini mkoa wa Geita usibadilishwe jina ukaitwa "Magufuli" kisha makao makuu yakawa Wilaya ya Chato ifikapo mwaka 2031 (Miaka 10 baada ya kifo cha Rais wa awamu ya 5).
Eti wakuu, huyu mtoto wa dada yangu yupo sahihi?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Na wewe na akili zako zote ukaona hiyo ni hoja ya kuleta hapa jukwaani?! Wasukuma bhana! Shenji kabisaGood evening jamiiforums.
Ndugu zangu, leo nilienda kumtembelea dada yangu mmoja (mtoto wa mama mkubwa) ameolewa eneo la Pugu huku Dar. Sasa wakati tupo tunakula mezani ule muda wa mchana, mtoto wake wa kiume (Uncle wangu) yupo kidato cha pili akaniuliza hivi;
Kwanini mkoa wa Geita usibadilishwe jina ukaitwa "Magufuli" kisha makao makuu yakawa Wilaya ya Chato ifikapo mwaka 2031 (Miaka 10 baada ya kifo cha Rais wa awamu ya 5).
Eti wakuu, huyu mtoto wa dada yangu yupo sahihi?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
MasaburiHivi watu wenye mawazo haya wanawaza kwa kutumia nini?
Ndiyo hivyoKatakuwa kameanza kuvuta bangi nini?
Hili jina la mwendazake halijakaa kiheshima heri hata kusema hayati ,hii mwendazake inaonekana watu hawakumpendaEnzi za Mwendazake Mpwa wako angetekwa na Kupimwa Mkojo kama sio Kung'olewa Kucha