Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,902
- 945
đź“Ť Maguguni, Igunga
Habari Picha: Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa kwa nyakati tofauti akimsikiliza Afisa Mtendaji wa Kata ya Mtungulu Bw. Fredrick Mihayo akiwasilisha taarifa ya maendeleo ya Kata inayochanganua utekekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye Sekta ya Elimu, Afya, Maji, Umeme Vijijini, Barabara, Ujenzi wa Madarasa, Vyoo vya Wanafunzi, Nyumba za Walimu na Nyumba za Wauguzi.
Mheshimiwa Ngassa (MB) amefanya ziara ya kikazi Kata ya Mtungulu na kukagua Daraja la kisasa lilojengwa kwa mfumo wa mawe linalounganika Kata ya Mtungulu na Makao Makuu ya Wilaya ya Igunga.
#KAZI NA MAENDELEO
# KAZI IENDELE
Habari Picha: Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa kwa nyakati tofauti akimsikiliza Afisa Mtendaji wa Kata ya Mtungulu Bw. Fredrick Mihayo akiwasilisha taarifa ya maendeleo ya Kata inayochanganua utekekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye Sekta ya Elimu, Afya, Maji, Umeme Vijijini, Barabara, Ujenzi wa Madarasa, Vyoo vya Wanafunzi, Nyumba za Walimu na Nyumba za Wauguzi.
Mheshimiwa Ngassa (MB) amefanya ziara ya kikazi Kata ya Mtungulu na kukagua Daraja la kisasa lilojengwa kwa mfumo wa mawe linalounganika Kata ya Mtungulu na Makao Makuu ya Wilaya ya Igunga.
#KAZI NA MAENDELEO
# KAZI IENDELE
Attachments
-
WhatsApp Image 2023-07-22 at 11.57.59.jpeg98.2 KB · Views: 2
-
WhatsApp Image 2023-07-22 at 11.57.59(1).jpeg82.1 KB · Views: 2
-
WhatsApp Image 2023-07-22 at 11.57.58.jpeg104.1 KB · Views: 3
-
WhatsApp Image 2023-07-22 at 11.57.57.jpeg96.5 KB · Views: 3
-
WhatsApp Image 2023-07-22 at 11.57.56.jpeg108.8 KB · Views: 3
-
WhatsApp Image 2023-07-22 at 11.57.55.jpeg58.4 KB · Views: 3