Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,199
Njoo arusha..
Mhhhh midemu ya arusha minunda sana... Bora singida bana
Njoo arusha..
Nenda Dodoma!fursa kibao sana!uwe na hata 5mil kuanzia maisha
nenda peponi
nadhan mbinguni kutakufaa zaid!!we jipange tu vyemaJamani mimi natafuta mkoa mzuri wa kuishi ambako maisha ni ahueni! Nijuzeni waungwani!
Nakushauri uende kuishi MTWARA eneo la MSIMBATI jirani na kwa yule bibi wa gesi.Jamani mimi natafuta mkoa mzuri wa kuishi ambako maisha ni ahueni! Nijuzeni waungwani!
kwa usafiri gani?