Mkoa gani ni mzuri kuishi?

Mkoa gani ni mzuri kuishi?

Tanga ni mkuoa wenye rutuba sana, gharama za chakula zipo chini.
 
CHUAKACHARA karibu kwetu MARA wilaya TARIME ni sehemu nzuri sana vitu nafuu tunatoa KENYA tu. Nairobi ni karibu kuliko kwenda DAR, samaki wapo wa Ziwa Victoria na Mto Mara, pia kuna ndizi nyingi, Inshort kuna vitu vingi tu vya kupendeza watu wa huko ni wakarimu sana.
 
Huko nakuja mkuu maana naona kuna sifa zote.

Mimi nafikiri mkoa wa Morogoro ndio rahisi kwa kila kitu- unakula nguruka 1 wa kuchoma na dona lako siku imepita; viwanja na mashamba bwerereee, K za kumwaga, maji bure. Tatizo vumbi
 
Kama ni unafuu wa maisha nenda katavi au Rukwa.
 
Kuna ndugu yangu ameniambia Lindi kwani kuna ardhi yenye rutuba na karibia ya kila kitu kinastawi kule. Pia kuna hela si kawaida.
 
Sehemu mbili tu,,ya kwanza ni mahali penye wanaume tz namaanisha tarime,,pa pili ni mwanza,huku opportunities za kutengeneza pesa zipo nje nje
 
Napendekeza Singida:

75824508.jpg

4331140700_07ed9dae86_b.jpg

[h=1]Singida Regional Referral Hospital[/h]The first two buildings of this project are currently under construction!
Phase I Master Plan
Singida, Tanzania
 
Back
Top Bottom