Si fashion Tu ama...sema wabongo Huwa tunaenda mbali sanaAngalia kwa hao black deacons around the neck hizo alama tatu zina maana gani?.
View attachment 2768083
Si fashion Tu ama...sema wabongo Huwa tunaenda mbali sana
Walokole hamna tofauti na wale jamaa wanaotembea na CD na kuwasikilizisha watu mchana wa jua kali.
Shughuli ilikua ya MHAYA. Kwa mara ya pili Wahaya tunanyanyua mashabiki Kwa kupata KardinaliAlafu mpigapicha yupo makini sana, shuguli ilikuwa ya muafrika na akatafuta angle walipo waafrika akafyatua button ya kamera, maua yake!.
Out of Topic.Ijumaa nilikuwa msikitini naona alama za nyota na mwezi na majambia kwenye mabendera.
Ila Sasa na sikia mnabadilisha kwenye Ile bendera baada ya lile panga mnaweka AK-47 kwenye vitabu vyenu mkisema kafiri lakini ndio mnatumia kama alamaView attachment 2768135
Hii ni alama ya mnyoo jina lake nimelisahau. Kwa hiyo watu tunapata na watoa huduma tuna minyoo kichwaniKama ni mtafiti wa alama twambie hiyo alama ya nyoka kwenye hospitali zote duniani zina maana gani View attachment 2768364
Wamekopi Nyoka wa shaba from The Holy Bible 🙃Kama ni mtafiti wa alama twambie hiyo alama ya nyoka kwenye hospitali zote duniani zina maana gani View attachment 2768364
Una uhakika mimi ni Mlokole? Unaweza kuthibitisha hilo?Walokole hamna tofauti na wale jamaa wanaotembea na CD na kuwasikilizisha watu mchana wa jua kali.
In other news.
Saint of the Day
Saint Jerome, pray for us.
Mwamba huyu hapa.. Lete vichwa kama mia 7 hivi vya akina masanja mkandamizaji na mashekh ndiyo unafikia nusu ya ubongo wake.
Kwanini naye ni Rugambwa? Au ni vyeo vya kurithi?Shughuli ilikua ya MHAYA. Kwa mara ya pili Wahaya tunanyanyua mashabiki Kwa kupata Kardinali
Mgomvi sana wewe 😄, hii ya kwenye nembo za hospitali ni sawa na ile ya nyoka wa shaba anauepatikana Maandiko ya Biblia kutoka kwenye kitabu cha Hesabu sura ya 21.Kama ni mtafiti wa alama twambie hiyo alama ya nyoka kwenye hospitali zote duniani zina maana gani View attachment 2768364