Mama huoni aibu,mapesa yote uliyokuwa unahonga vijana ili wakustareheshe huyakumbuki!!??Shetwaini wa kike usiye hata na chembe ya aibu kwa mwenyeziMungu!Inasikitisha sana kuona hata mke wa Lowassa alikuwa typical fisadi...tena walikuwa wanasaidiana na EL kufisadi hadi mapenzi.China iko wapi jamani hawatakiwi kupewa hata maji ya kunywa nchi hii.Starehe zao na watoto wao zimetufikisha huku. Jamani Alphatel yake,Alpha Dry Cleaners yake,Apartments Arusha zake,Rich-Monduli yake, Bettty Mkwasa wake,HAkimu wa Arusha wake,Secrtary wa AICC wake, EPA yumo, Dowans yumo, beach zote kauza yeye,Viwanja vya wazi kauza yeye,Kiwanja cha mecco kwa kakobe kauza yeye, maji bongo kauza yeye...na mengi mengine ni aibu kwani alikuwa akichukua hata rushwa ya extra duty (10,000) pale wizarani. HAWAFAI KUWA WATANZANIA HAWA!!ROSTAM AZIZ YUKO WAPI??