Sio kwamba ni wanawake peke yao, ukiangalia ratio hata bila kuhesabu utaona wanawake ndio wengi. Kama ukibahatika kuwauliza wanaume waliopo utagundua nao hawapo jumla jumla ila wanapima joto kiaina.Another dimension..asante japo its too general.Sitaku kuamini kuwa kwenye DECI walikuwa wanawake tu.
Sitaki kuamini kuwa waliokufa kule kwa Kibwetere walikuwa wanawake tu.Nasita kuamini kuwa waliokuwa kwenye cults deaths kule Jonestown - Guyana walikuwa wanawake tu! I could go on and on - hadi kwa akina Kakobe, na wengineo