Je, Mke ana haki ya kutotoa penzi kama..........

Amos David Mathias

JF-Expert Member
Sep 3, 2022
1,574
3,029
Wanaume wengi wanaishi kwenye ndoa na inaonekana ndoa sio suluhisho la kukidhi haja zao za kimwili.Hii imetokana na sababu nyingi.

Kuna mtu asubuhi ameandika Uzi kuwa “Vijana mkiingia kwenye ndoa msidhani mtapata mapenzi muda wote kama mlivyodhani”

Nataka kuuliza nini kinachowapa kiburi wanawake kutotoa penzi kwa Waume zao maana wanapoingia kwenye ndoa tayari wanajua kuwa suala la mapenzi sio ombi Tena na mwanaume kuhudumia familia pia sio ombi.

Ningependa kujua pia ni halali mwanamke kukataa kutoa penzi Kwa mume Kwa sababu kama hizi;

1 Hamrithishi (kimoja chalii)

2 Hajiskii au anachoka Sana Kila siku baada ya Kazi

3 Mwanaume amemkasirisha

4 Mwanaume amekataa kumruhusu kwenda vikoba au kufanya mambo Fulani

NB; TUCHUKULIE HUYU MWANAMKE

a)Hayupo kwenye siku zake

b)Hanyonyeshi

c) Ana AFYA vizuri tu

Nimesikitika kuskia watu wapo kwenye ndoa na wanaishi kama kaka na dada .

Tutawezaje kuwashawishi Vijana wanaosema KATAA NDOA waweze wakakubali NDOA Kama wenye ndoa wanapitia haya .Tutazidi tengeneza kizazi Cha hit and run na SINGLE MOTHERS.
 
Wanaume wengi wanaishi kwenye ndoa na inaonekana ndoa sio suluhisho la kukidhi haja zao za kimwili.Hii imetokana na sababu nyingi.

Kuna mtu asubuhi ameandika Uzi kuwa “Vijana mkiingia kwenye ndoa msidhani mtapata mapenzi muda wote kama mlivyodhani”

Nataka kuuliza nini kinachowapa kiburi wanawake kutotoa penzi kwa Waume zao maana wanapoingia kwenye ndoa tayari wanajua kuwa suala la mapenzi sio ombi Tena na mwanaume kuhudumia familia pia sio ombi.

Ningependa kujua pia ni halali mwanamke kukataa kutoa penzi Kwa mume Kwa sababu kama hizi;

1 Hamrithishi (kimoja chalii)

2 Hajiskii au anachoka Sana Kila siku baada ya Kazi

3 Mwanaume amemkasirisha

4 Mwanaume amekataa kumruhusu kwenda vikoba au kufanya mambo Fulani

NB; TUCHUKULIE HUYU MWANAMKE

a)Hayupo kwenye siku zake

b)Hanyonyeshi

c) Ana AFYA vizuri tu

Nimesikitika kuskia watu wapo kwenye ndoa na wanaishi kama kaka na dada .

Tutawezaje kuwashawishi Vijana wanaosema KATAA NDOA waweze wakakubali NDOA Kama wenye ndoa wanapitia haya .Tutazidi tengeneza kizazi Cha hit and run na SINGLE MOTHERS.
Penzi ndiyo sex?

Mwanamke ana haki ya kukataa bila sababu.

Na mwanamme ana haki ya kuanza mchakato wa kutafuta mke wa pili.
 
Mwanamke ana kazi kibao mchana mzima yupo kazini na anatoka asubuhi kama mume sasa huo mda atautoa wapi.

Mchana mzima kamingle na watu kibao unafikiria atatoa saa ngapi unyumba ..
 
Wanaume wengi wanaishi kwenye ndoa na inaonekana ndoa sio suluhisho la kukidhi haja zao za kimwili.Hii imetokana na sababu nyingi.

Kuna mtu asubuhi ameandika Uzi kuwa “Vijana mkiingia kwenye ndoa msidhani mtapata mapenzi muda wote kama mlivyodhani”

Nataka kuuliza nini kinachowapa kiburi wanawake kutotoa penzi kwa Waume zao maana wanapoingia kwenye ndoa tayari wanajua kuwa suala la mapenzi sio ombi Tena na mwanaume kuhudumia familia pia sio ombi.

Ningependa kujua pia ni halali mwanamke kukataa kutoa penzi Kwa mume Kwa sababu kama hizi;

1 Hamrithishi (kimoja chalii)

2 Hajiskii au anachoka Sana Kila siku baada ya Kazi

3 Mwanaume amemkasirisha

4 Mwanaume amekataa kumruhusu kwenda vikoba au kufanya mambo Fulani

NB; TUCHUKULIE HUYU MWANAMKE

a)Hayupo kwenye siku zake

b)Hanyonyeshi

c) Ana AFYA vizuri tu

Nimesikitika kuskia watu wapo kwenye ndoa na wanaishi kama kaka na dada .

Tutawezaje kuwashawishi Vijana wanaosema KATAA NDOA waweze wakakubali NDOA Kama wenye ndoa wanapitia haya .Tutazidi tengeneza kizazi Cha hit and run na SINGLE MOTHERS.
Ndoa ni kama kazi ya Serikali yenye ajira ya kudumu na pensheni juu

Wakishaingia ndoani wana relax kama watumishi wa Serikali wanavyorelax
 

1 Wakorintho 7:4-5 BHN​

4. Mke hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mumewe anayo; hali kadhalika naye mume, hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mkewe anayo.​

5. Msinyimane haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo tu, ili mpate nafasi nzuri ya kusali. Kisha rudianeni tena.​


Kulingana na hilo andiko akikunyima haki ya ndoa huyo hana sifa za kuwa mke piga chini Mungu kashaweka maelekezo

 
Wanaume wengi wanaishi kwenye ndoa na inaonekana ndoa sio suluhisho la kukidhi haja zao za kimwili.Hii imetokana na sababu nyingi.

Kuna mtu asubuhi ameandika Uzi kuwa “Vijana mkiingia kwenye ndoa msidhani mtapata mapenzi muda wote kama mlivyodhani”

Nataka kuuliza nini kinachowapa kiburi wanawake kutotoa penzi kwa Waume zao maana wanapoingia kwenye ndoa tayari wanajua kuwa suala la mapenzi sio ombi Tena na mwanaume kuhudumia familia pia sio ombi.

Ningependa kujua pia ni halali mwanamke kukataa kutoa penzi Kwa mume Kwa sababu kama hizi;

1 Hamrithishi (kimoja chalii)

2 Hajiskii au anachoka Sana Kila siku baada ya Kazi

3 Mwanaume amemkasirisha

4 Mwanaume amekataa kumruhusu kwenda vikoba au kufanya mambo Fulani

NB; TUCHUKULIE HUYU MWANAMKE

a)Hayupo kwenye siku zake

b)Hanyonyeshi

c) Ana AFYA vizuri tu

Nimesikitika kuskia watu wapo kwenye ndoa na wanaishi kama kaka na dada .

Tutawezaje kuwashawishi Vijana wanaosema KATAA NDOA waweze wakakubali NDOA Kama wenye ndoa wanapitia haya .Tutazidi tengeneza kizazi Cha hit and run na SINGLE MOTHERS.
Sasa akatalie si unamtaftia bi mdogo mbona easy tu
 
Back
Top Bottom