Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
unajua hizi formalities ZINATUMALIZA!kwa namna ulivyouliza swali,wewe bado upo kwenye zile zama za NO SEX BEFORE MARRIAGE!life has changed mamaGeoff kabla ya ndoa yako hamkupima?kupima ni muhimu ili kujua afya zenu,mimi huwa nasema hata walio SeroPositive kwa sasa na wao kuna siku hapo nyuma walikuwa seroNegative.Ni muhimu kujua immunity.Ila kusema ukweli unatakiwa uwe tayari kupokea majibu.
hebu liset vizuri hilo swali nilijibu