wambie asee,watu hawana huruma humu kabisa
Atajibiwa na wanaume wenzie ambao wake zao walishapita huko.
Mimi nimeshamsamehe kabisa,nilitaka ajue tu kuna wanaokwazika na kauli zake.
Ennie na we mimba ulonayo kichwani inamchukia kaka m nn?
Nipe hali za wanangu achana na walimwengu!!!!!
ahsante sana,sory,sitarudia tena ndg yangu.
Atajibiwa na wanaume wenzie ambao wake zao walishapita huko.
Mimi nimeshamsamehe kabisa,nilitaka ajue tu kuna wanaokwazika na kauli zake.
hata mi simuelewi yule jamaa,anakuchukia bila sababu aisee,watu wengine bwana
kabisa mkuu,I am very sorry jamani, Naomba watu wote niliowakwaza wanisamehe kwa hili.Vizuri sn kijana kwa kuwa mwelewa na kutambua ni wapi uliteleza,naona ss yameisha tujenge urafiki as a one family,tuache kumsakama kijana kaomba msamaha.Atakayeendelea ana lake jambo.Kujichanganya kupo ktk maisha.Nami pia naongeza toba"SAMAHANI SANA DADA ZANGU NA KAKA ZANGU MLIOGUSWA NA HILI. Resolutionments are for the good end.
Bandugu naomba
ushauri,inakuaje mkeo au mpenz wako akibeba mimba kisha akakuchukia na
hataki kukuona,nakumbuka nikiwa mdogo babu yangu alikua akituambia kua
mkeo akibeba mimba kisha akakuchukia basi ujue mtoto sio wako,kua
haiwezekan mtoto wako akuchukie,hyo ni ishara kua hyo sio dam yako,hii
imekaaje wakuu,au ni kweli nimeibiwa??ushauri wenu mliowah kukabiliana
na hili.
Wewe uliyesema wanawake ni mizigo ya uchafu kumbe nawe una mpenzi? Naye ana jinsia ya kike!
Maajabu hayatakwisha!!!
cc. DEMBA