!
!
hata mimi yamenikuta, kuna mtu anachukia uandishi wangu hadi basi
kwani nimeongea jambo gan baya ndg Ennie,mbona mwenye mada kaandika wanawake mizigo hujakomaa nae unanikomalia mimi jamaniwambie asee,watu hawana huruma humu kabisa[/QUOTE]
Nani akuhurumie wakati unaendelea kuongea fedhuli kuhusu wanawake kule?
Jifunze staha
duh!we mwanamke si uwe na huruma na mimi,nimekukosea nini jamani
kwani nimeongea jambo gan baya ndg Ennie,mbona mwenye mada kaandika wanawake mizigo hujakomaa nae unanikomalia mimi jamani
Hakuna baya,yote mema tu.
Mtoa mada pia nilimwambia kuhusu kauli yake ila akawa muungwana akaomba radhi.
Wewe ndio ukajifanya unawafahamu zaidi wanawake kuliko hata aliyewaumba!
aisee una hasira sana na mimi,nisamehe bure ndg yaangu[/B]
Kauli zako kuhusu wanawake sijazipenda,umenishangaza unapokuja kuomba ushauri kwa wanawake hao hao ulowaita mizigo ya uchafu kuhusu mwanamke tena!!
Waulize wanaume wenzio walikutana nayo
Waombe radhi kama umewatukana,halafu bado unawaomba ushauri wkt umewasemea mbovu waombe radhiwambie asee,watu hawana huruma humu kabisa
!
!
hata mimi yamenikuta, kuna mtu anachukia uandishi wangu hadi basi
Ana mimba yako nini mkuu
!
!
kama anayo ni changa kwani hajaanza zamani sana, ni juzi tu na akaamua kuweka wazi kwa kuanzisha hadi thread humu humu jamvini.
Kwanza mjibu swali lake kisha msamehe dada
Tena leo hii hii!!!
nimekuelewa mkuu,mwenyewe roho imeniuma sana kuona ni jins gani nimemuudh mtu au watu humu ndani,mnisamehe jamani.Yani Ennie leo kama angekuwa mbunge basi ni Tundu Antipas Lissu,katetea jinsi yake kwl.Hakika pamoja na namna tuwachukuliavyo hawa watu- WANAWAKE twapasa KUWAHESHIMU SANA. Matusi dhidi yao si busara,hebu fikiri kama ndo dada yako anafanyiwa hayo? au mama?TAFAKARI.Kwa Ennie mie NAMPENDA SANA.