kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 689
Bandugu naomba ushauri,inakuaje mkeo au mpenz wako akibeba mimba kisha akakuchukia na hataki kukuona,nakumbuka nikiwa mdogo babu yangu alikua akituambia kua mkeo akibeba mimba kisha akakuchukia basi ujue mtoto sio wako,kua haiwezekan mtoto wako akuchukie,hyo ni ishara kua hyo sio dam yako,hii imekaaje wakuu,au ni kweli nimeibiwa??ushauri wenu mliowah kukabiliana na hili.