Mke wangu ni mgumu sana kujishusha

Mke wangu ni mgumu sana kujishusha

Kabisa na si kabila...karibu wote
Hii ni kwa wote in general haibagui hii.
We si unaona mtu muuza nyapu tu hkiwa na dau dogo anategemea unakaribia kufika kileleni anachomoa..anasema dau lako limeishia hapa.Kama vip ongeza
 
Hii ni kwa wote in general haibagui hii.
We si unaona mtu muuza nyapu tu hkiwa na dau dogo anategemea unakaribia kufika kileleni anachomoa..anasema dau lako limeishia hapa.Kama vip ongeza
🤣🤣🤣Ndo inavyokuwa ivo? Mie sielewi🤣🤣🙌🤭
 
Hhaa kumbe wote tumechukua pisi za Kinyaki na mimi nina sidechick toto ya kutoka Mbalali
Ahahahah..
Kaka mimi siongei kwa kubatisha.
Mimi ni mnyaki.
Yf ni mnyaki vile vile.

Yan mpaka huu uzi nilipouona nikashtuka nikidhani labda ni mimi ndio niliandika maana karibu kila kitu kinanihusu kasoro umri wa ndoa(i have 10 yrs) na idadi ya watoto (mine -4).

Hizo ni tabia zao
 
Mkuu 96% kote kupo ivo....hawasemi tu.Pambana nae tu ukishindwa mzabe vibao iwe tiketi ya kuondokea.Maana wanawake wengi wamecheka na ndoa zao wanasubiri tiketi ya vibao tu wasepe.[emoji855]
Teacher
 
Ahahahah..
Kaka mimi siongei kwa kubatisha.
Mimi ni mnyaki.
Yf ni mnyaki vile vile.

Yan mpaka huu uzi nilipouona nikashtuka nikidhani labda ni mimi ndio niliandika maana karibu kila kitu kinanihusu kasoro umri wa ndoa(i have 10 yrs) na idadi ya watoto (mine -4).

Hizo ni tabia zao
Hahaa pole kwa changamoto kwa hiyo unanishaurije mkuu?
 
Wakuu nawasalimu kwa jina la muungano.

Niende moja kwa moja kwenye mada kuu, nimekua kwenye ndoa na huyu mke wangu yapata miaka nane sasa, tulioana wote tukiwa vijana na ni binti ambae tulisoma nae kuanzia primary tukaja kukutana chuo, kwahiyo namfahamu vizuri tu. Nikiri tu kwenye mambo mengine ya kifamilia yupo vizuri sana, ila tatizo linaanza ni kujishusha na kuomba msamaha pale tunapotibuana.

Hii hali inanikwaza sana sababu bila kujishusha mimi tunaeza kukaa hadi mwezi hatuongei eti ameninunia. Mara nyingi huwa inanilazimu mimi kujishusha baada ya kubanwa na upwiru sana. Kwa ninavofahamu kupishana kauli kwenye ndoa kupo na ni jukumu la wanandoa wote kuipambania ndoa kwa kujishusha na kuyaongea, ila mwanamke ndio anatakiwa awe mstari wa mbele kujishusha ili mambo yaende, ila kwa huyu mke wangu imekua tofauti.

Kwa sasa tuna watoto watatu ila hii hali inanifanya nihisi kama nalazimisha mapenzi hivi hadi nimeanza kupata mawazo ya kuivunja hii ndoa. Nakwazika sana.

Naombeni ushauri wenu wakuu.
  1. Kwao wapi
  2. Kabila gani
  3. Ana umri gani
  4. Amesomea fani gani
  5. Ana abudu wapi
  6. Anafanya kazi katika mazingira gani
  7. Rafiki zake ni wa aina gani
  8. Mnaishi mji gani
  9. Mmejenga au mmepanga
Maswali haya yanaweza kutoa picha ya kitu gani kinampa hiyo jeuri ya kutomtii mume
 
Wakuu nawasalimu kwa jina la muungano.

Niende moja kwa moja kwenye mada kuu, nimekua kwenye ndoa na huyu mke wangu yapata miaka nane sasa, tulioana wote tukiwa vijana na ni binti ambae tulisoma nae kuanzia primary tukaja kukutana chuo, kwahiyo namfahamu vizuri tu. Nikiri tu kwenye mambo mengine ya kifamilia yupo vizuri sana, ila tatizo linaanza ni kujishusha na kuomba msamaha pale tunapotibuana.

Hii hali inanikwaza sana sababu bila kujishusha mimi tunaeza kukaa hadi mwezi hatuongei eti ameninunia. Mara nyingi huwa inanilazimu mimi kujishusha baada ya kubanwa na upwiru sana. Kwa ninavofahamu kupishana kauli kwenye ndoa kupo na ni jukumu la wanandoa wote kuipambania ndoa kwa kujishusha na kuyaongea, ila mwanamke ndio anatakiwa awe mstari wa mbele kujishusha ili mambo yaende, ila kwa huyu mke wangu imekua tofauti.

Kwa sasa tuna watoto watatu ila hii hali inanifanya nihisi kama nalazimisha mapenzi hivi hadi nimeanza kupata mawazo ya kuivunja hii ndoa. Nakwazika sana.

Naombeni ushauri wenu wakuu.
sawa tu hiyo mbona kawida dawa ni we kuongeza ngazi mbili kupanda zaidi, na usionyeshe kama una shida naye sana, wakati huo fanya wajibu wako kwa familia kama baba
 
Wakuu nawasalimu kwa jina la muungano.

Niende moja kwa moja kwenye mada kuu, nimekua kwenye ndoa na huyu mke wangu yapata miaka nane sasa, tulioana wote tukiwa vijana na ni binti ambae tulisoma nae kuanzia primary tukaja kukutana chuo, kwahiyo namfahamu vizuri tu. Nikiri tu kwenye mambo mengine ya kifamilia yupo vizuri sana, ila tatizo linaanza ni kujishusha na kuomba msamaha pale tunapotibuana.

Hii hali inanikwaza sana sababu bila kujishusha mimi tunaeza kukaa hadi mwezi hatuongei eti ameninunia. Mara nyingi huwa inanilazimu mimi kujishusha baada ya kubanwa na upwiru sana. Kwa ninavofahamu kupishana kauli kwenye ndoa kupo na ni jukumu la wanandoa wote kuipambania ndoa kwa kujishusha na kuyaongea, ila mwanamke ndio anatakiwa awe mstari wa mbele kujishusha ili mambo yaende, ila kwa huyu mke wangu imekua tofauti.

Kwa sasa tuna watoto watatu ila hii hali inanifanya nihisi kama nalazimisha mapenzi hivi hadi nimeanza kupata mawazo ya kuivunja hii ndoa. Nakwazika sana.

Naombeni ushauri wenu wakuu.
Mke mmoja hudumaza akili
 
Hahaa pole kwa changamoto kwa hiyo unanishaurije mkuu?
Ahaha wala hata usinipe pole chief maana hii changamoto iko ndani ya uwezo wangu nam mudu vyedi kabisaa maana si nawamanya?? Unachokijua sikuzote hakitakiw kukupa tabu.

USHAURI NI HUU
"Be strong like a man". Yan ukioa hawa, hutakiwi a baby dady.. u must remain a father!. 😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom