AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,273
Uchonganishi upiHiki kicheko ni cha uchonganishi
Uchonganishi upiHiki kicheko ni cha uchonganishi
Mshahara anaoufuata I think ni 1.5m hivi, though ni unconfirmed. Lkn I can afford her needs and my family, ni vile tu naiona push ya ndg zake pia, si unawajua wabongo, kwamba walimsomesha so they expect ahudumie pia, mim sina neno sana na hilo ila Distance… It is too far away from home. Na bad enough ni kazi za private hata hawana branch maeneo ya karibu!Angalia kama unaweza kuulipa huo mshahara anaoupata mwisho wa mwezi, basi mwache akae tu.
Ila kama huwezi na unaona umuhimu wa hio kazi unauona,
let her go to work...
Halafu kama wasiwasi wako ni kuchapiwa, kumbuka hata hapo ulipo bado kuna nafasi ya kuchapiwa.
kama tatizo ni distance, angalia namna ya kuhamia BK kule mkaishi kwa kula ndizi na senene.
mwisho kabisa,
mkeo akienda huko atachukua.miezi 6 tu akirudi atakua analoanisha godoro balaa😂😂😂
Vyakula vya wahaya vinatengeneza maji mengi sana mwilini
Okey boss. Mm nimeoa muda sasa na huyu mzee mwanzangu nilimuoa akiwa mwajiriwa na sasa mfanya biashara muda tu sijawahi pata mapicha picha ila ningeyapata ningerekebisha makosa ya kuoa malaya.Mimi bado sijaoa ila amini nachokwambia...mkuu..😀😀😀
Mkuu nazingua tuUchonganishi upi
Unampimaje MTU ambaye hata biblia imishs kuambia ni dhaifu,Wanawake wote Duniani ni dhaifuMwanamke anajichunga mwenyewe,mwache aende,hiyo ni mipango ya MUNGU kumpima kama ni mwaminifu kwako akiwa mbali,kubali aende sasa na wewe ufanye kama kipimo juu ya mapenzi yenu
Mshahara anaoufuata I think ni 1.5m hivi, though ni unconfirmed. Lkn I can afford her needs and my family, ni vile tu naiona push ya ndg zake pia, si unawajua wabongo, kwamba walimsomesha so they expect ahudumie pia, mim sina neno sana na hilo ila Distance… It is too far away from home. Na bad enough ni kazi za private hata hawana branch maeneo ya karibu!
😁😁😁 DahMimi huwa sitoi ushuri kwenye mahusiano ya watu. Baadae nisije kulaumiwa.
Huyu mwenzenu alaishwa na baba yake mkimsikiliza itakula kwenu🤣🤣🤣🤣Achana na mawazo ya kugongewa, acha akafanye kazi kama kugongwa anaweza kugongwa hapa hapa dar
Hamna uwe na amani tuMkuu nazingua tu
Mshahara anaoufuata I think ni 1.5m hivi, though ni unconfirmed. Lkn I can afford her needs and my family, ni vile tu naiona push ya ndg zake pia, si unawajua wabongo, kwamba walimsomesha so they expect ahudumie pia, mim sina neno sana na hilo ila Distance… It is too far away from home. Na bad enough ni kazi za private hata hawana branch maeneo ya karibu!
Hawadai directly, ila unaweza feel hiyo kitu.Mke wako alafu anadaiwa na ndugu?? Walikuazima walikuozesha? Msiruhusu watu waingilie ndoa zenu jamani
Aliyeandika biblia ni mwanamke au mwanaume???Unampimaje MTU ambaye hata biblia imishs kuambia ni dhaifu,Wanawake wote Duniani ni dhaifu
Njoo pm tujadiliane zaidi.Mshahara anaoufuata I think ni 1.5m hivi, though ni unconfirmed. Lkn I can afford her needs and my family, ni vile tu naiona push ya ndg zake pia, si unawajua wabongo, kwamba walimsomesha so they expect ahudumie pia, mim sina neno sana na hilo ila Distance… It is too far away from home. Na bad enough ni kazi za private hata hawana branch maeneo ya karibu!
Mwanaume kuchaoiwa ni siri ya ndani.Habarini wana jamvi!
Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.
Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.
Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.