bujaganoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 561
- 453
- Thread starter
- #101
Upo sahihi MkuuSi maisha mazuri sana kwa watu mliozoea kuishi pamoja kama wanandoa kukaa mbali kiasi hicho,usimuazie tu yeye kuingia majaribuni ,hata wewe mwenyewe unaweza kuingia mtegoni,muache aende,ila pambana sana kwa kadiri utakavyoweza ili ahamishiwe ulipo.Kikawaida wanaume wazinzi wako kama majogoo,mwanamke mgeni anapokuja mahali,hata bila ya kujua tabia zake au kama ni mke wa mtu,kila mtu lazima ajaribu kete yake ili awe wa kwanza,sasa mwanamke asipokuwa stable unaweza kusikia mengine...


