Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Just use common sense kama ndani ya miaka 5 hakuwahi kumtafutia alternative ndo leo ataweza kisa mke kapata kazi?

Huyu anajisemesha hapa tu kuwa anampa kila kitu ila hamna lolote. Nivile tu chakula kipo wanakula ila sio kwamba anamtimizia nguo nzuri, kusuka vizuri, kumpa vijipeaa vya kuwatumia wazazi wake.

Kama angelikuw anamtimizia asingehangaika kutafuta kazi.

Pipo think twice twice 🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisa Mkuu, na ndio sababu ya mkewe kuhangaika kuitafuta hiyo kazi kwa muda mrefu. Acha akatombewe huko ili akili imkae vizuri. Naunga mkono hoja.
 
Habarini wana jamvi!

Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.

Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.

Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
Kazi gani?
Wewe una kazi pia?
 
Habarini wana jamvi!

Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.

Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.

Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
Allow her to persue her dreams in life just like you are doing now. She is your wife, nothing will change that matrimonial bond. Personality and character will define what kind of wife she is...let her work!.
Habarini wana jamvi!

Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.

Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.

Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
 
Meeen, I like this…

Ni kwamba mpaka naleta huu uzi, tuliongea akasema kama naweza kumruhusu aende kufanya kazi au la, so anasubiri uamzi kutoka kwangu, ndio nilikuwa naangalia possibilities hapa, ndoa haijafika miaka hiyo miaka 10. Nikalileta huku nikiamini kuna watu wanaweza kuwa na experience na hivo vitu.
Kwasisi wenye Ndoa.
Nakushauri kama wewe umeajiriwa inatosha.
Mke ajiajiri tu, kakope hata bank.
Distance between you will cost u more than hiyo kazi anayoenda kufanya.

Pendeni watoto wenu, jipendeni.
 
Kama una hela vzr asiende mfungulie business. Mzee utakaa wiki nne mpaka tano bila kuchapa utaweza. Mwisho wa siku mtaambukiza HIV au homa ya ini au magonjwa mengine. Mwanamke anaweza kumudu kukaa hata miezi sita bila kudo ila mwanaume kama unakula unashiba vzr matunda kwa wingi lazima kuna muda unahtaj kuliosha rungu. Mzee kama mke wako unampenda asiende. Mzuiee mfungulie business kama kweli hela unayo. Ila kama mshahara wako hauvuki 2m muache aende
 
Seconded ,hata ulilala naye na kuamka naye daily 24/7 kama ni atalabuliwa tu.

bujaganoni km hujawahi kuwa na historia yoyote mbaya na mkeo mwache akafanye kazi , hlf baada ya muda unaweza kutafuta uhamisho.

Sema DSM to Kagera nyege na upweke vinaweza kukupatia sonono la moyo hasa kama ni Mzee wa kuvhakata mbususu daily na kulala mmekumbatiana 😅😅😅
Hahaha
 
Kwani we ndo ex wa mke wa jamaa ushapinga kujilia mzoga kiulaini
Hakuna ndoa ya mke na mume kuishi mbali mbali. Vitabu vya dini vimeweka wazi kabisa, mwanaume atakula kwa jasho wakati mwanamke atazaa kwa uchungu. Mke ni pambo la nyumba, ukitaka umtume huko mkoani ili akakutafutie pesa basi jiandae kutombewa tu. Iko hivyo.
 
Hakuna ndoa ya mke na mume kuishi mbali mbali. Vitabu vya dini vimeweka wazi kabisa, mwanaume atakula kwa jasho wakati mwanamke atazaa kwa uchungu. Mke ni pambo la nyumba, ukitaka umtume huko mkoani ili akakutafutie pesa basi jiandae kutombewa tu. Iko hivyo.
Mbona kula kulala nao wanagawa kama kawaida tu.
Me najua kugawa au kutogawa ni maturity ya mtu mwenyewe
 
Mbona kula kulala nao wanagawa kama kawaida tu.
Me najua kugawa au kutogawa ni maturity ya mtu mwenyewe
Mwanamke aliyeolewa anapaswa kuishi pamoja na mumewe, yeye na mumewe hawapo huru kujifanyia lolote. Hao kula kulala wako huru kufanya lolote, hawawajibiki popote.
 
Just use common sense kama ndani ya miaka 5 hakuwahi kumtafutia alternative ndo leo ataweza kisa mke kapata kazi?

Huyu anajisemesha hapa tu kuwa anampa kila kitu ila hamna lolote. Nivile tu chakula kipo wanakula ila sio kwamba anamtimizia nguo nzuri, kusuka vizuri, kumpa vijipeaa vya kuwatumia wazazi wake.

Kama angelikuw anamtimizia asingehangaika kutafuta kazi.

Pipo think twice twice
Baadhi ya wanaume wa bongo ndo akishakulisha, ukalala basi anafikiria hakuna jingine unahtaji, mwingine hata vocha hakupi, miaka na miaka hujamtumia hata mama yako epfu kumi anunue sukari huko kijijini halaf anajitokeza hapa eti namtimizia kila kitu, hell no amwqche akafanye kazi tu
 
Mpe ruhusa akalijenge taifa.

Nawewe weka ratiba yako vizuri, sijui utaanza na wanachuo, piga gwaride familia moja ikiondoka inaweza kuja ingine😂.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom